Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,193
- 829,147
Duhulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Duhulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu

Asante kwà ushauriulipe kabisa deni la mgodi....pambana we ni mwanaume utatoboa tu..acha kukiri udhaifu
Usikiri kwamba kuona hizo futi 6..amimi Mungu aweza kukuponyaDah huu mwaka sitoboi asee
Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga!
Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama!
Lord have Mercy!
AminaMungu hawezi kamwe kutupa jaribu kutuzidi uwezo wetu.. Na daima huwa hafungi milango yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks
Amina AminaNaiwe hivyo kwa damu ya YESU...
Amina
Mungu nisaidieUsikiri kwamba kuona hizo futi 6..amimi Mungu aweza kukuponya
Atakusaidia na utaleta ushuhuda hapaMungu nisaidie
Na iwe hivyo katika jina la YESU.Atakusaidia na utaleta ushuhuda hapa
Atakusaidia mkuu...Mungu nisaidie
Amina Amina. Powerful this one! ThanksAtakusaidia mkuu...
Omba Toba na Rehema...
Jitakase kwa damu ya YESU...
Mungu anajuaANDIKA yanayokusibu utoe mzigo huo..
NashukuruNipo tayari kusaidia kwa kadiri ya niwezavyo uvuke kaka/dada. Karibu PM tafadhali
Hakika penye uzito basi wepesi upo.Dah huu mwaka sitoboi asee
Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga!
Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama!
Lord have Mercy!
Umeokoka?Dah huu mwaka sitoboi asee
Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga!
Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama!
Lord have Mercy!