Hili wengi hawalielewiMkabidhi Mungu njia zako naye atazithibitisha. Otherwise kinywa kina nguvu ya uzima na Mauti.
Alijifanya mzalendo ukinyooka hamia taasisi za wito zisizo na kona ili ustaafu vizuri wabongo sio.unakumbuka ishu ya yule police Arusha alijifanya msafi yaliyomkuta.Huyu Mzee Kipusa ana matatizo ambayo ni makubwa sana.Namuonea huruma,kama sikosei alikuwa mtumishi wa Umma Akafutwa kazi na alileta Uzi na Uzi wake ulifutwa,sema humu ndani mtu anaweza andika kitu watu wakahisi Utani ila unakuta mtu anapitia Hali ngumu...
Kama Kuna watu wenye uwezo wa kumsaidia waweze kumsaidia hata kumkutanisha na watu sahihi aweze kueleza matatizo yake kinaghaubaga.Naimani serikali yetu sio adui wa wananchi,serikali yetu ni rafiki wa Wananchi wote....
Mimi na kumbukumbu za Uzi wake tu.....
Naimani watu wa Tume ya Utumishi wa Umma,na vitengo vingine wapo humu pia..Kwenu kumsaidia Huyu Mtanzania mwenzetu Wakati huu...
Pole sana Mzeekipusa naimani Mungu atakuvusha salama katika kipindi hiki Kigumu...
karibu sana, sana!Nimeipenda avatar yako mkuu![]()
Thank youkaribu sana, sana!
AminaMlango wa kutokea huwa upo tu,watu tulikumbwa na mambo kiasi unaona dunia iko kichwa chini miguu juu.
Kwa kudra za mola tupo hapa wazima.
AminaPole sana, Mungu ni mwema akuvushe salama
Mambo ni mengi mengi sanaMisamiati Sio Mizuri Sometimes, We Pasua ili 'Mabaharia' tukushauri...
AmenMkuu
A couple of days ago nilikuwa katika situation ngumu kidogo..na nilileteta uzi hapa..sasa sijui mods waliwaza nini wakafuta..
Lakini,MUNGU alinivusha katika namna ya kushangaza sana.
Put your trust on him,He will make a way
Daah , nimeusoma huu ujumbe mpaka MACHOZI yamenitoka.Huyu Mzee Kipusa ana matatizo ambayo ni makubwa sana.Namuonea huruma,kama sikosei alikuwa mtumishi wa Umma Akafutwa kazi na alileta Uzi na Uzi wake ulifutwa,sema humu ndani mtu anaweza andika kitu watu wakahisi Utani ila unakuta mtu anapitia Hali ngumu...
Kama Kuna watu wenye uwezo wa kumsaidia waweze kumsaidia hata kumkutanisha na watu sahihi aweze kueleza matatizo yake kinaghaubaga.Naimani serikali yetu sio adui wa wananchi,serikali yetu ni rafiki wa Wananchi wote....
Mimi na kumbukumbu za Uzi wake tu.....
Naimani watu wa Tume ya Utumishi wa Umma,na vitengo vingine wapo humu pia..Kwenu kumsaidia Huyu Mtanzania mwenzetu Wakati huu...
Pole sana Mzeekipusa naimani Mungu atakuvusha salama katika kipindi hiki Kigumu...

Asante sanaPole sana mkuu
Mfa maji haachi kutapatapawe kufa tu.ila wanaokufa uwa hawaandiki popote
bado haujamuona israil wewe.ukimuona hata hyo simu hautashika.Mfa maji haachi kutapatapa
Dah huu mwaka sitoboi asee
Yani naziona 6 feet hizi hapa live kabisa bila chenga!
Mambo ni mengi mengi mno : Yameniandama!
Lord have Mercy!