impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,838
- 7,891
Angalia nafasi ya hiyo nyota ya maisha yetu jua katika hiyo galaxyHawezi kutoka nje ya sayari yake sababj haiwezekani na haitokuja kutokea.
Pili ni viumbe gani wenye akili kuliko binadamu ?
Angalia na hiyo nyingine uone Jua lipo wapi uchukue tafakari je Mungu ameumba ulimwengu usiopimika kwa mwanadamu na kumuweka mwanadamu katika ka sayari kadogo tu au kuna viumbe wengine?
Hii ni galaxy yenye billion za nyota na Galaxy zipo mamilion je unafikiri quintillion za nyota zilizo umbali usiohesabika quintillion zote zinasapoti uhai wa mwanadamu?
Uki zoom unaweza kuhesabu hizo nyota?