Mungu na ulimwengu

Mungu na ulimwengu

Ukifikiri kiundani zaidi ili kujua asili ya binadamu Ni nini au Ni wapi?kwa mtu makini lazima utaingiwa na HOFU mioyoni,ili kurudi utimamu wa kawaida Ni wazi ukumbuke MUNGU yupo kwa Imani yako!Kuna matendo ya kudhihilisha uwezo wa Mungu na kwamba yupo na ndiye muumba wa WANADAM na VIUMBE hai vingine,ukitazama elimu ya ulimwengu mengi Ni ujuzi wa wasomi wa kale,KUKOSOA kwamba MUngu hayupo inatakiwa ushahidi wa kina Kama kupinga kwamba muasisi wa mfumo wa "LAW OF MOTION" si Issack Newton!!!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"At the midst of joy do not make a promise to any one,at the midst of anger do not answer any one's latter"-Lao Zhu,nukuu ya nguli wa fasihi toka China alizama kifikra katika uhalisia, ustaarabu wa binadamu,namna ambayo si kwa uwezo wa kibinadam pekee bila kumtanguliza MUngu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunasubiri Recreation mkuu.
Bibilia Inasema Kilele cha Uovu wa Dunia hii Ni Kuangamizwa kwa Dunia hii yote. Ila watakao mwamini Yesu, na Kuacha Uovu Wataokolewa.
Hilo walilijua tangu wakina Ibrahimu enzi hizo dunia ikiwa bado bikrabikra haijanajisika sana.
Bibilia inasema Ibrahim aliishi kwenye hema huku akili yake ikiutazamia Mji ambao misingi yake haijajengwa na mwanadamu.
Mwanadamu anayejitambua hawezi kuweka kambi katikati ya jalala. Hapa tunapita tu mkuu.
Kusoma Biblia ni kitu rahisi sana, asingeuliza swali kwani hata yeye ameshasoma hiyo Biblia. Mpska mtu anauliza swali hapa anatemea majibu kutoka kwenye akiri na uwelewa watu sio references kutoka kwenye maandiko ya watu waliokufa hatuwezi ata wahoji hapa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Is there life after death? This question asked in the book known #ICRIDIBLE_OF_THE_WORLD_THAT_POTENTIAL,through common thought it EASY to answer that question,but in-deep mind tough to got solutions.So that can we APRICIATE only GOD knows everything about us i.e (OUR LIFE&DEATH)?let God known as The 1st and the LAST
 
Binadamu tumeumbwa na Mungu na kupewa nafasi ya kuishi duniani kwa mapenzi yake,Kuna wakati binadamu hulewa sifa kwa kudhani anaweza mambo yote kwa utashi wao binafsi kwa kutenda maovu kwa wengine.Nafasi ama uwezo wa ki-mamlaka au kiuchumi si turufu ya kuingilia Uhuru wa wengine na kusahau Mungu ndiye mwenye mamlaka ya watu na vitu vyote ulimwenguni,ipo haj
a kujitafakari na kuomba na kutumia HEKIMA katika maamuzi na matendo kwa wengine ili kutenda sawa na mapenzi ya Mungu Kama mwana wa Daudi(Suleimani) kwa wakristo na pia kwa waislamu Mtume (S.A.W) katika kitabu kitukufu(KURAN)anasisitiza kuhusu HEKIMA
 
A soul...! Once created can never be destroyed
Hivi kulingana na maandiko hivi nafsi za wapenda wetu huwa zinafanya nini wakati zikisubiri siku ya hukumu kulingana na Imani za ukristo na uislamu pia ni kwa namna gani unaizungumzia swala la rebirth Kama moja ya Imani..naomba ufafanuzi legend Mshana Jr:
 
Is there life after death? This question asked in the book known #ICRIDIBLE_OF_THE_WORLD_THAT_POTENTIAL,through common thought it EASY to answer that question,but in-deep mind tough to got solutions.So that can we APRICIATE only GOD knows everything about us i.e (OUR LIFE&DEATH)?let God known as The 1st and the LAST
In deed!
There is life after Death but should one understand that There is no Death anyway.
Nothing dies but rather the body wears out.
The Soul Is,Was and ever shall be.
The assumption of the body is a part time deal it ends but life continues...
The concept of life and death can not get full filled by the brain and even if one tries to explain...no better words yet...

Emptiness,Voidness and Vanity is actually a deal...!
Matter is always an illusion...physicality is a blockage of our minds....!

Yes-There is life after Death.

Helping materials-The book with Deepak Chopra-Life after Death....!
 
perhaps through theory but
The truth of that still in secret because (we)people dies day after day no one who have arise to prove that!!
There is life after Death but should one understand that There is no Death anyway.
Nothing dies but rather the body wears out.
The Soul Is,Was and ever shall be.
The assumption of the body is a part time deal it ends but life continues...
The concept of life and death can not get full filled by the brain and even if one tries to explain...no better words yet...

Emptiness,Voidness and Vanity is actually a deal...!
Matter is always an illusion...physicality is a blockage of our minds....!

Yes-There is life after Death.

Helping materials-The book with Deepak Chopra-Life after Death....!
 
Kiama kwa wanadamu ni mipango ya Mungu,tangu UUMBAJI hadi GHARIKA kipindi cha NUHU hadi nyakati tulizopo ni wazi kwamba mwisho wa dunia(Kiama) ni mauti kwa kila binadamu.Pamoja na kuruhusu binadamu kutawala vitu ama viumbe wengine lakini Mungu alituficha KIFO kitufikapo,yawezekana ni maksudi yake ili kudhihirisha UTUKUFU wake kwetu,yaani kaumba na kutawala awezavyo na hatuna mbadala,hakuna zaidi kwa mwanadamu Mungu ni wa pekee kwetu wanadamu!! Mhubiri4:11
 
Chonde chonde! Mungu nakuomba umsamehe shetani ili maovu ya ulimwengu yaishe. Mrudishe tu Mbinguni ili ulimwengu ubaki salama. Sio bangi ila ni mawazo yangu!
 
Kupitia Biblia-Takatifu 1Wafalme18:25 Mungu anadhihirisha kwamba ndiye ALFA &OMEGA kupitia Nabii Eliya pale sadaka yake inajibiwa tofauti na Mungu wa bahari, Ulimwengu kwa Mungu ni sehemu ndogo tofauti na tujikwezavyo!!!
 
[QUOTE="Kijana wa jana, post: ni mtazamo na upeo wako kama binadamu 👏
Hii sio bangi kweli
[/QUOTE]
 
"when I was a child I spoke as a child,I understood as a child ,I thought as a child,But when I \Became a man I put all childsh thiongs a way"hollybibble1corrinthians13:11
You do not put childish things away but rather get along with them while not working on them anymore. It's because they constitute to a greater extent, a foundation of what made you to be who you are today. There is a very severe adverse effect in completely putting away all childish things in that you are more likely to become a "tabular rasa" more or less like a remote controlled creature who can merely bow down at the touch of a button, like a marinette on a string
 
You do not put childish things away but rather get along with them while not working on them anymore. It's because they constitute to a greater extent, a foundation of what made you to be who you are today. There is a very severe adverse effect in completely putting away all childish things in that you are more likely to become a "tabular rasa" more or less like a remote controlled creature who can merely bow down at the touch of a button, like a marinette on a string
Paul the Apostle written in the #HollyBibble as I quote to reminds corrinthians about steps of human being especially childish to man
 
Back
Top Bottom