Mungu na ulimwengu

Mungu na ulimwengu

Hesabu zinazokuwezesha wewe kuposti kwenye internet hapa JF ndizo zinazoelezea nadharia hizo.

Sasa kama unabishia hizo nadharia, bishia kwamba ume post hapa JF pia.
☕☕☕☕☕☕
 
Sayansi ina Mambo mengi kinadharia na kivitendo,magwiji wa sayansi wapo wanaopinga kwamba MUngu yupo na wanaoamini MUngu yupo,kila binadamu ana IMANI tofauti na ndio maana tunatofautiana mitazamo,hapo MUngu anajipambanua kwamba Ni wa pekee Kama maandiko ktk vitabu vya dini enzi za NUHU watu walidharau alipowajuza habari za SAFINA,wakifikia hatua ya kufanya choo baadae wakasafisha wenyewe kwa kutumia Kama dawa ya ukoma,hii Ni baada ya NUHU kulalamika kwa Mungu!!walitii kwa shuruti yakujiponya huku wakasafisha SAFINA......... matendo ya Mungu yanadhihirisha UPEKEE
 
ivi sisi binadam tuishi ndan ya dunia ama nje ya dunia
Tunaishi ndani ya Dunia upande wa inje kwenye ardhi
Hapa ni ndani ya Dunia lakini si katika kiini cha Dunia kama ulivyotaka kufahamu.
Tungekuwa tunaishi inje ya dunia karibu na dunia tungeshikwa na nguvu ya uvutani (gravity force) na kuzungushwa kama mwezi unavyovutwa na kuzungushwa na nguvu ya uvutani ya mzunguko wa Dunia
 
Tunaishi ndani ya Dunia upande wa inje kwenye ardhi
Hapa ni ndani ya Dunia lakini si katika kiini cha Dunia kama ulivyotaka kufahamu.
Tungekuwa tunaishi inje ya dunia karibu na dunia tungeshikwa na nguvu ya uvutani (gravity force) na kuzungushwa kama mwezi unavyovutwa na kuzungushwa na nguvu ya uvutani ya mzunguko wa Dunia

Mbona unazunguuukaaa Mzee [eti ndani ya dunia upande wa nje...!!], inasemekana dunia ni mfano wa tufe [sphere].... je sisi tunaishi juu/ nje au ndani ya dunia..?
 
.....Huu ni mtizamo wangu binafsi na hauna kiini kutoka kwenye maandiko yoyote matakatifu, bali ni kulingana na ufahamu wangu mimi mwenyewe tu basi.....

Mbona unapenda kujidanganya namna hii, unasemaje ni mtazamo wako tu wakati huo hoja yako yote imetokana na kusoma au kusikia kulichoandikwa na wenzio.... hayo mambo ya uumbaji ni kweli kuwa hujasoma kwenye Biblia wewe..?

Plagiarism.
 
Mbona unapenda kujidanganya namna hii, unasemaje ni mtazamo wako tu wakati huo hoja yako yote imetokana na kusoma au kusikia kulichoandikwa na wenzio.... hayo mambo ya uumbaji ni kweli kuwa hujasoma kwenye Biblia wewe..?

Plagiarism.
Nilichosema ni mtizamo wangu ni hiki. Biblia inasema kuwa Adam na Hawa waliumbwa katika zile siku 6 za uumbaji, wakati mtizamo wangu ni kuwa Adam na Hawa waliumbwa tangu zamani kwa sababu pumzi ya uhai waliyopuliziwa ilikuwepo milele, alikuwa nayo Mungu mwenyewe. Pia ule udongo Mungu aliutumia kufinyanga miili yao, tayari alikuwa ameshauumba huko nyuma, hakuumba siku hiyo ya ufinyanzi. Hata hivyo wewe uko sahaihi zaidi
 
Nilichosema ni mtizamo wangu ni hiki. Biblia inasema kuwa Adam na Hawa waliumbwa katika zile siku 6 za uumbaji, wakati mtizamo wangu ni kuwa Adam na Hawa waliumbwa tangu zamani kwa sababu pumzi ya uhai waliyopuliziwa ilikuwepo milele, alikuwa nayo Mungu mwenyewe. Pia ule udongo Mungu aliutumia kufinyanga miili yao, tayari alikuwa ameshauumba huko nyuma, hakuumba siku hiyo ya ufinyanzi. Hata hivyo wewe uko sahaihi zaidi

Nipo sahihi kivipi mkuu wakati nimekuuliza ili kujiridhisha kama kweli hayo ni mawazo yako, au ni namna ya kukimbia majadiliano ndugu..? Wacha hizo, rudi hapa tuendelee kujifunza.

Well, kwanza sio sahihi kusema wawili hao walifinyangwa kwa udongo, bali mmoja na mwingine alitokana na ubavu wa huyo wa kwanza.... udongo kuumbwa [kama unarejea Biblia] ni kwamba ilitamkwa tu kwa lake neno na ikawa vile alivyoona ni vema.

Ni kuhusu hiyo mnaita pumzi ya uhai, je ilipulizwa kwa mwanadamu pekee na si kwa viumbe vyote vyenye uhai..?
 
Imani yangu ni kuwa Mungu yupo, kama ambavyo nimekuzwa na kutengenezwa kuamini tangu nimepata ufahamu.... japo mafundisho mengi yamejaa vitisho na mipaka ya kufikiria kwa hofu kwamba Mungu ‘hachunguziki’.

Lakini tukijipa uhuru wa kufikiria nje ya maandiko, tukasahau ile dhana ya utimilifu kuwa tusiongeze wala kupunguza neno.... hebu tujiulize swali hili na kutafakari kwa utulivu.

Ikiwa Mungu muumba mbingu na nchi, muweza wa yote, mjuzi wa mema na mabaya.... ikiwa aliwahi kuwako na muda wake wa kuishi ukaisha [akafa] sisi tutajuaje..?

Ikiwa hafanyi vitu vipya leo [updates], tunapata wapi ushahidi kujiaminisha ya kuwa bado angali anaishi..?

Yeye ni mwenye akili kubwa mno kuzidi fahamu zetu kwa kipimo kisichomithilika, hivyo uwezekano wa sisi kuwaza nje ya alichoturuhusu ni kiduchu mno.

Ni kama tu ambavyo mtoto mdogo anasimuliwa hadithi za kufikirika, na anaamini kwa muda huo.... ila baada ya muda anang’amua kwamba zilikuwa tu na lengo fulani.

Let’s think beyond measures.
 
Sayansi ina Mambo mengi kinadharia na kivitendo,magwiji wa sayansi wapo wanaopinga kwamba MUngu yupo na wanaoamini MUngu yupo,kila binadamu ana IMANI tofauti na ndio maana tunatofautiana mitazamo,hapo MUngu anajipambanua kwamba Ni wa pekee Kama maandiko ktk vitabu vya dini enzi za NUHU watu walidharau alipowajuza habari za SAFINA,wakifikia hatua ya kufanya choo baadae wakasafisha wenyewe kwa kutumia Kama dawa ya ukoma,hii Ni baada ya NUHU kulalamika kwa Mungu!!walitii kwa shuruti yakujiponya huku wakasafisha SAFINA......... matendo ya Mungu yanadhihirisha UPEKEE
Those calling themseleves emperical scientists, trying to advocate the absence of God, do know who their enemy or target is and in that matter, are not even legible to termed as emperical scientists. It's because the actual real war here is between Spritual Science and their Emperical Science. In that matter, they were supposed to argue against Spritual Science. Therefore in doing so, by defeating the arguments for Sprtual Science, they would definetely prove beyond doubts that, God does not exist. But the most perplexing thing is, how do you use one of these sciences to argue for, or against the other, whose tools are completely different?..., In other words, how can you reconcile these tools for purposes of harmonizing the findings and hence the ultimtate conclusion to be drawn from usch findings resulting from such tools? If ever attempted, I could say, this would be the most foolish and stupid kind of research in the World!
 
Mungu hayupo na kama yupo ajitokeze kuwasaidia waumini wake ktk janga la corona
Na hapo ndio utajua kuwa stori za mungu ni hadithi za kutunga
 
Back
Top Bottom