nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,787
[emoji23][emoji23]Amen mkuu
Mungu atasaidia kipigo cha mbwa koko kwa wanaCCM
Sanchez magoli kesho CCM mkishinda nikupe nini?
haha haha we ndege wangu kwanini nikushikie manati;Amen mkuu
Mungu atasaidia kipigo cha mbwa koko kwa wanaCCM
Sanchez magoli kesho CCM mkishinda nikupe nini?
Hivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.
Hahaaha that's my mtarajiwahaha haha we ndege wangu kwanini nikishikie manati;
Nipo hapa kukulinda kuhakikisha hutoi ahadi kama ile ya mechi iliyoiyoisha.
naunga mkono hoja ndugu yanguinafurahisha hata mataifa tuliyodhani yana matatizo ya kisiasa na kikabila kama vile algeria na kenya kutumia yanayoendelea huko misri kuleta umoja wa kitaifa na kuwa kitu kimoja ila hali hiyo ni tofauti hapa kwetu ambapo tusio wana ccm tumetangaziwa wazi kwamba ile team ya wendawazimu ambao kila mtu anajifunzia kunyoa haituhusu
kesho wendawazimu hao wanaenda kukutana na mbweha the fox wa jangwani toka algeria,mara ya mwisho wendawazimu hao wa lumumba walipigwa 7-0
Naomba nichukue nafasi kumuomba Mungu awabariki Algeria wapige goals 9-0 hapo kesho.Amen.
Jiandae na kifurushi cha kisimbuzi chako mapema kabisa.Hivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.
hawezi kuacha kuongea ujinga,mtu mjinga ni nadra sana kuongea busaraHivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.
Na wafungwee tuu, hamna namna.Sidhani kama atakuwa na nguvu ya kuongea leo labda hadi kesho wakishafungwa
ya mungu mengi mtarajiwa;Hahaaha that's my mtarajiwa
Lakini hata nikitoa ahadi kesho hamshindi
hahaha rafiki ako mwenyewe Daudi AlbertNa wafungwee tuu, hamna namna.
Yaani njia ya bashite nataka ijae miiba na utelezi tuu.
Tayari nimelipia Jana. Nasubiri tuu maangamizi.Jiandae na kifurushi cha kisimbuzi chako mapema kabisa.
Amen mkuu
Mungu atasaidia kipigo cha mbwa koko kwa wanaCCM
Sanchez magoli kesho CCM mkishinda nikupe nini?
Ninahamu aongee ili nijue anaomba msamaha au anaongea pumba gani tena.hawezi kuacha kuongea ujinga,mtu mjinga ni nadra sana kuongea busara
hawezi kuacha kuongea ujinga,mtu mjinga ni nadra sana kuongea busara