Hahaha kaka wewe ndio utoe location humu tunaogopana tu bwashee 😅😅😅😅To a location kaka
Jua ☀️ pia lina Dini yaani lina mfumo au njia inayofwata na Sayansi inakubali"Muumba alitupatia uzima - sio mafundisho na hekaya za kidini
"Ukweli haumilikiwi na vitabu, mahekalu, au wanadamu. Ukweli unapatikana kwa kupatana na Nuru - katika matendo, nia, na ukumbusho."
"Kila dini ilianza na mtu ambaye alikumbuka. Lakini mara tulipogeuza ujumbe wao kuwa udhibiti, tulipoteza ujumbe."
"Hakuna mtoto anayezaliwa na dini. Anazaliwa na roho na hilo ndilo hekalu la kweli."
JUA HALINA IBADA-LINANG'AA TU. MWEZI HAUFUNGANI NA DINI.. UNATUMULIKIA KIZANIView attachment 3436065
Jua ☀️ pia lina Dini yaani lina mfumo au njia inayofwata na Sayansi inakubali"Muumba alitupatia uzima - sio mafundisho na hekaya za kidini
"Ukweli haumilikiwi na vitabu, mahekalu, au wanadamu. Ukweli unapatikana kwa kupatana na Nuru - katika matendo, nia, na ukumbusho."
"Kila dini ilianza na mtu ambaye alikumbuka. Lakini mara tulipogeuza ujumbe wao kuwa udhibiti, tulipoteza ujumbe."
"Hakuna mtoto anayezaliwa na dini. Anazaliwa na roho na hilo ndilo hekalu la kweli."
JUA HALINA IBADA-LINANG'AA TU. MWEZI HAUFUNGANI NA DINI.. UNATUMULIKIA KIZANIView attachment 3436065
Safi sana mimi mwenyewe ikipita wiki sijaona kyu,,a naugua kabisa 😅Nipo Kigoma naondokaView attachment 3436086
Hiyo nikauli ya hatari na kuhalalisha Uchizi Mtakuwa mnakula nyama za watu sasa maana mnauhuru wa kujiamulia na hamna mipaka ya MunguKaka tule pombe
Tulia bwashee ,now nataka nile pombe tu nakuwasiliana na watoto wazuri tu ,hivyo tunza energy yako ya kesho🤔Hiyo nikauli ya hatari na kuhalalisha Uchizi Mtakuwa mnakula nyama za watu sasa maana mnauhuru wa kujiamulia na hamna mipaka ya Mungu