Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,765
- 36,354
Hello!
Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.
Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.
Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.
Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.
Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.
Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.
Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.
Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.
Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.
Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.
Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.
Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.
Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.
Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.
Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.
Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.
Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.
Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.