Mungu ametupa zawadi leo kwa Mbunge Tundu Lissu kusimama kwa mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist

Boxing Day Nairobi Hospital

Mungu ametupa zawadi leo kwa Mh Tundu Lissu kusimama kwa Mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist tangu tarehe 07/ 09/2017. Ahsante Mungu kwa kuendelea kututendea miujiza.

Picha kutoka Hospitali ya Nairobi ikimuonesha Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akifanya mazoezi ya kusimama kwa msaada wa madaktari wa hospitali hiyo.
=========UPDATES
Ujumbe wa Mbunge Tundu Lissu kutoka Hospital ya Nairobi nchini Kenya anakoendelea na matibabu baada ya kushambuliwa kwa Risasi mwezi Septemba, 2017
~

Dear family na wapendwa wote.

Wiki iliyopita niliwataarifu kwamba madaktari wangu wamesema 'nitasimama, nitatembea na nitarudi Tanzania.'

Leo Boxing Day nimeweza kusimama kwa mguu mmoja kwa msaada wa 'Mababa Cheza' wangu.

Hatua inayofuata ni magongo kesho na nitawajulisheni hatua nyingine katika matibabu yangu accordingly.

Wasalaam,
Tundu AM Lissu


View attachment 659914
Atakuwa ana usikia tu uchi wa mwanamke
 
Daaaaa yani nikiwafikiria binadamu huwa nakosa amani sana.Jamani kuna watu wanaroho mbaya.
Eheee mwenyezi mungu tunakuomba utoe hukumu hapahapa duniani kwa watu kama hao na hukumu zaidi wapate siku yao wakifika mbele yako.
Tuseme aamin
Aamini.
 
Kusimama kwa lissu Leo ni kusimama kwa demokrasia Tanzania, ni kusimama kwa haki na ukweli,
Ni uthibitisho kwamba Mungu yuko upande Wetu na hajatuacha kwani amemtuma Joshua (lissu) kutuvusha Jordan kwnda Canaan...
Hakika utawala wa kiladhimu,madavu,utekaji,udikteta na ukanda utaanguka kwa jina la Mungu mkuu
 
Back
Top Bottom