johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,591
- 141,397
Tundu Lisu amesema Katiba ya JMT inafanya kuwa nusu mungu yaani Alfa na Omega.
Lissu anasema kwa madaraka makubwa ya Rais ndio anapanga Matumizi Yote ya Serikali na hata Mei mosi Wafanyakazi huitumia kumuomba awaongeze mishahara.
Kwa mfano Ikungi debe la Mahindi ni tsh 15,900 lakini Serikal umetumia zaidi ya tsh 563 bil kununua magari ya kifahari ya Mawaziri na Wakuu wa mikoa, amesema Lissu.
Muarobaini wa haya yote ni Katiba Mpya amesisitiza.
Lissu anasema kwa madaraka makubwa ya Rais ndio anapanga Matumizi Yote ya Serikali na hata Mei mosi Wafanyakazi huitumia kumuomba awaongeze mishahara.
Kwa mfano Ikungi debe la Mahindi ni tsh 15,900 lakini Serikal umetumia zaidi ya tsh 563 bil kununua magari ya kifahari ya Mawaziri na Wakuu wa mikoa, amesema Lissu.
Muarobaini wa haya yote ni Katiba Mpya amesisitiza.