Rubbish!Acha kujitoa akili wee kondooo
Rubbish!Acha kujitoa akili wee kondooo
wa wasukuma kaishiwa pumziMungu wa Wachaga Ambariki Tundu Lissu.
Mkuu, roho ya Binanadamu hata akiwa na madhaifu namna gani bado ni roho tu, ni vizuri kumwachia Mungu au Mamlaka za Kisheria zimwadhimu kuliko kujichukulia sheria mkononi. Mbona Serikali inazuia watu kuwachoma moto vibaka ? Iweje Lisu usiwe na huruma naye hata kama kakuudhi vipi.Za wadi? Tundu lisu! !! Labda sijui mana ya za wadi kutoka kwa Mungu
Yamakagashi.....Kila la kheri Tundu Lisu ila huyo jamaa aliyevaa gloves ni lazima atakuwa askari wa kikosi maalumu Kenya