cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,809
- 73,579
Fisi ni mwenye tamaa na haridhiki sasa tabia za CCM ndio kama za huyo fisi
Na kwa Lissu kupiga hatua nzuri kwenye matibabu.. inaendanaje na CCM.. na inajulikana alitendwa na wenzake wa Chadema.. ili wamsimamishe yeye kupata umaarufu kuliko waliotoa pesa ndefu kujiunga wapate vyeo.