Mungu amejibu maombi ya Mh Lema..!

Mungu amejibu maombi ya Mh Lema..!

pazzy

Senior Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
194
Reaction score
60
Kesho jiji la Arusha litatikisika...sakata la mabomu mambo yote kuwekwa hadharani..!
 
Kesho jiji la Arusha litatikisika...sakata la mabomu mambo yote kuwekwa hadharani..!

Kiongozi weka hii vizuri. tuambie ni maombi yapi ya Lema yaliyojibiwa. Hayo mambo yanawekwa hadharani na kina nani, kwa mtindo gani, wapi?!!
 
Kiongozi weka hii vizuri. tuambie ni maombi yapi ya Lema yaliyojibiwa. Hayo mambo yanawekwa hadharani na kina nani, kwa mtindo gani, wapi?!!
Ni kweli Mkuu. Tunapaswa kujua hayo maombi ya Lema ni yepi
 
Mbowe na lema wanawafahamu waliyo lipua mabomu

mungu kajibu nn sasa? Mpaka video wanayo
 
Mambo ya ujabu kama nn
Habar haina mashiko kabisa
 
Kiongozi weka hii vizuri. tuambie ni maombi yapi ya Lema yaliyojibiwa. Hayo mambo yanawekwa hadharani na kina nani, kwa mtindo gani, wapi?!!

Vuta subira kamanda lkn kama upo A town sogea mahakani kesho asubuhi..!
 
Mbowe na lema wanawafahamu waliyo lipua mabomu

mungu kajibu nn sasa? Mpaka video wanayo

Hao makamanda wanajua wanachokifanya...Ukitaka kujua waliopanga hiyo mipango yakinyama subili kesho..!
 
Back
Top Bottom