Mungu amejibu maombi ya Mh Lema..!

Mungu amejibu maombi ya Mh Lema..!

Umeandika kishabiki sana. Hebu tueleze ni yale mabomu ya soweto makamanda waliyoyalipua au yapi?

Mkuu Msalani wangelipua makamanda ungekuta waneshahukumiwa kunyongwa. Wahusika nu watiiiiiiifu kwenu ndiyo maana hadi leo hawajapatikana. Hivi yule bodaboda wenu wa kisanii bado yuko korokoroni???
 
Mkuu Msalani wangelipua makamanda ungekuta waneshahukumiwa kunyongwa. Wahusika nu watiiiiiiifu kwenu ndiyo maana hadi leo hawajapatikana. Hivi yule bodaboda wenu wa kisanii bado yuko korokoroni???

Nijibu maswali yafuatayo.
  1. Kwanini kila mara pakitokea fujo kwenye mikusanyiko ya CHADEMA, Wahusika wakuu hawadhuriki?
  2. Kwanini BOMU halikuwapata Mbowe na LEMA, badala yake likatuwa Pembeni na kuwapa mwanya wa kukimbia kukokoa maisha yao?
  3. Kwanini Mkutano wa SOWETO, CHADEMA walifunga camera maalum za kurekodi matukio(kwa mujibu wao), kwanini isiwe kwenye mikutano mingine?
 
Msameheni jamani! Amebanwa na tumbo la kuhara ghafla kaenda msalani,labda atarejea kuandika alichotaka kutufahamisha zaidi juu ya maombi ya Mh.Lema!
 
Nijibu maswali yafuatayo.
  1. Kwanini kila mara pakitokea fujo kwenye mikusanyiko ya CHADEMA, Wahusika wakuu hawadhuriki?
  2. Kwanini BOMU halikuwapata Mbowe na LEMA, badala yake likatuwa Pembeni na kuwapa mwanya wa kukimbia kukokoa maisha yao?
  3. Kwanini Mkutano wa SOWETO, CHADEMA walifunga camera maalum za kurekodi matukio(kwa mujibu wao), kwanini isiwe kwenye mikutano mingine?

Yote hayo ni kwasababu za kiitelejensia!
 
Mbona tunasikia ni majirani wa upande X walitaka kuchonganisha CCM na CDM ilivyogundulika kwenye hilo la usalama wa nchi ikabidi wawe kitu kimoja?
 
Nijibu maswali yafuatayo.
  1. Kwanini kila mara pakitokea fujo kwenye mikusanyiko ya CHADEMA, Wahusika wakuu hawadhuriki?
  2. Kwanini BOMU halikuwapata Mbowe na LEMA, badala yake likatuwa Pembeni na kuwapa mwanya wa kukimbia kukokoa maisha yao?
  3. Kwanini Mkutano wa SOWETO, CHADEMA walifunga camera maalum za kurekodi matukio(kwa mujibu wao), kwanini isiwe kwenye mikutano mingine?

nani apoteze muda kujibu huo uharo wako?
 
mleta maada kaleta kipanya road kinoma,haeleweki kaingia na kutoka..
 
Mkuu Msalani wangelipua makamanda ungekuta waneshahukumiwa kunyongwa. Wahusika nu watiiiiiiifu kwenu ndiyo maana hadi leo hawajapatikana. Hivi yule bodaboda wenu wa kisanii bado yuko korokoroni???

Mtandao uliohusika kutengeneza mabomu yaliotumika katika matukio ya Arusha umejulikana na muda huu Umefikishwa mahakamani....Kama baadhi ya maafisa usalama walishiliki je, nikwamaslahi yanani..!
 
Back
Top Bottom