Mungu amejibu maombi ya Mh Lema..!

Mungu amejibu maombi ya Mh Lema..!

pazzy mkuu umetuweka njia panda clarify
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nimvutie waya MIKAEL P AWEDA anipe Updates kama kuna issue yoyote!
 
Kesho jiji la Arusha litatikisika...sakata la mabomu mambo yote kuwekwa hadharani..!
Umeandika kishabiki sana. Hebu tueleze ni yale mabomu ya soweto makamanda waliyoyalipua au yapi?
 
Vuta subira kamanda lkn kama upo A town sogea mahakani kesho asubuhi..!

Kumbe ni kesi? Sasa mshitakiwa ndiyo nani? Kuna uhakika wa mahakama kutenda haki? Si walitaka tume ya kijaji? au ndiyo imeshaundwa?
 
weka habari vizuri watu waielewe,habari yako haieleweki,dadavua vizuri
 
Hii ni habari iliyopasuka. .....Ukishaiunga,utushtue. ..
 
Kesho jiji la Arusha litatikisika...sakata la mabomu mambo yote kuwekwa hadharani..!

Ungeweka vizuri ili mtu akisoma asikuulize kuhusiana na hili hebu weza vizuri basi hata mimi niko njia panda sijaelewa kabisa nina maswali mengi sana ili nielewe sawa.
 
Back
Top Bottom