Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,433
- 7,092
Super...Hakika umeusoma moyo wangu
Hujambo vizuri sasa rafiki yangu?
Super...Hakika umeusoma moyo wangu
Amina
Pia aufunue ubongo na moyo wa Goodluck Gosbert umuhubiri Mungu kweli.
Ameen...hata mimi nimeuskiliza.ni mzuri mno na unafika mbali..ukiusikiliza ujumbe vyema!Ee Mwenyezi Mungu nakuomba endelea kubariki kazi za Abiudi Misholi na sauti yake ikawe uponyaji wa mioyo yetu leo na hata kesho kwa kadri upendavyo.
Aisee kweli tunatofautianaWee!mie mwenzenu naskizaga nyimbo za sda tu..wengine hata huwa hawanibariki!kidg bahati bukuku na shusho!wanavyocheza sasa..ah big no!
Ameen...hata mimi nimeuskiliza.ni mzuri mno na unafika mbali..ukiusikiliza ujumbe vyema!
Kabisa aisee..!yaan mm nimuangalie rose mhando bora nilale..mtu anarukaa..nywele tim tim!chek sda songs..full adabu..hata Rc wanaimba vzr snaAisee kweli tunatofautiana
Kumbe SDA bas sawaKabisa aisee..!yaan mm nimuangalie rose mhando bora nilale..mtu anarukaa..nywele tim tim!chek sda songs..full adabu..hata Rc wanaimba vzr sna
Ambwene Mwasingwe the best..
Namkubali sana huyu na Bon mwaitege..My number one Gospel singer Tz, anaimba Biblia tupu, Abarikiwe sana.
NdioBabu kijana
Humjui Abiudi Misholi? Ni mchungaji lakini pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili wimbo wake maarufu sana ni tenda muujiza
Humjui Abiudi Misholi? Ni mchungaji lakini pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili wimbo wake maarufu sana ni tenda muujiza
Abiudi ni Mtumishi bwana
yani hamna nyimbo yake na skip hata moja
ni moja kati ya waimbaji wa injili watakaodumu milele na milele
maana style ya uimbaji wake hakuna wakuweza iiga
For time being nasikiliza "lini utapita kwangu" aseee acheni bana
Ana kitu ndani yake huyu mtu acheni amtumikie Mungu na wengne Tubarikiwe kupitia yeye.
Kama ni stars
Abiudi nam rate 5 stars
Iweke hapa lini nitapita tuishushe
Hahaha hahaha woke hapa tusikieWimbo huo aliuimba wakati wa mkapa pia ni mzuri sana na kwa hali ya Sasa inafaa upigwe kila siku redioni