Bujibuji
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 54,651
- 2,000
Goodluck Ni Mjasiriamali. Akisikia kaswida inalipa ataenda kuiimba
Shida ni pale unapomhubiri huyo Yesu lakini haufuati maagizo yake.opot opot, Hata Yesu hakuja kwa ajili ya wasio na dhambi.
Acha tu,huyu mtu aliipenda injili tangu zamani,familia yao wengi wanafanya injili.Aisee alikuwa mtu wa namna gani?
Ni Ambwene Mwasongwe!Ambwene Mwasingwe the best..
Duuu!Kuna usalama kweli inavoelekea huyu mtu ni hatari kwa ustawi wa jamii akacheki homoni zake wampe dawa mihemko ipungue!Mkuu utakuwa unadindisha muda wote maana hata barabara wanawake wanakatika na nguo zao zinachora jiografia ya miili yao.
Humjui Abiudi Misholi? Ni mchungaji lakini pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili wimbo wake maarufu sana ni tenda muujiza
Nyimbo zake zinabariki sanaNdo nani huyo mkuu?
Wee!mie mwenzenu naskizaga nyimbo za sda tu..wengine hata huwa hawanibariki!kidg bahati bukuku na shusho!wanavyocheza sasa..ah big no!Nyimbo zake zinabariki sana
Wewe msda nakujua. Za abiudi ziko poa pia jaribu kusikilizaWee!mie mwenzenu naskizaga nyimbo za sda tu..wengine hata huwa hawanibariki!kidg bahati bukuku na shusho!wanavyocheza sasa..ah big no!
Upako ni nini?Kuhusu Abiudi ni kweli ana nyimbo zenye upako sana
Nadhani una lengo zuri la kutushirikisha wimbo wake wa "Tunaombea Amani"Hakika umeusoma moyo wangu
Wacha weee alikuwa mtu wa aina gani mtumishi?Classmate wangu na mtu ambaye miaka ile tulikuwa karibu sana Singidani huko.
Wimbo huo aliuimba wakati wa mkapa pia ni mzuri sana na kwa hali ya Sasa inafaa upigwe kila siku redioniNadhani una lengo zuri la kutushirikisha wimbo wake wa "Tunaombea Amani"
Sidhani kama abiudi anahitaji promo nyimbo zake zinajiuza zenyeweUmetumwa biashara imeanza kuwa ngumu nini
Pastor and gospel singer'sNdo nani huyo mkuu?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us