Mungu ambariki Abiudi Misholi

Mungu ambariki Abiudi Misholi

Amina

Pia aufunue ubongo na moyo wa Goodluck Gosbert umuhubiri Mungu kweli.
Goodluck!Mm,umeona video zake za hivi karibuni?Huyu anahitaji matengenezo makubwa na hata yeye mwenyewe amekiri hivyo.Na kama wewe kweli unaitendea haki roho yako,nadhani unajua kwamba waimbaji binafsi wa nyimbo za Injili sio,wanamtumikia "Kaka Mkubwa>Shetani!"
Kama kweli Goodluck anamtumikia Mungu alipaswa kuwa kwenye Choir ya dhehebu lake.
Maandiko yako wazi,
"Mithali 18:1: Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema."
 
Anaishi Tukuyu?
Hapana ila anaendaga kufanya ibada na semina za kidini Mimi nilikutana nae Mara ya Kwanza tukuyu maeneo ya bagamoyo Kama unaelekea soko mjinga by then ilikuwa 2013/14
 
Hapana ila anaendaga kufanya ibada na semina za kidini Mimi nilikutana nae Mara ya Kwanza tukuyu maeneo ya bagamoyo Kama unaelekea soko mjinga by then ilikuwa 2013/14
Ipo siku nitaonana nae,Mungu anijalie uhai
 
Huu uzi umenifunulia kitu kimoja,kutokana na kuona miandiko mingi ni ya wadada.
Leo nimegundua kuwa asilimia kubwa ya wadada wa JF ni "wapenda Mungu" japo kwa kila mtu kwa aina yake.
Mungu awabariki sana.
 
Abiudi ni Mtumishi bwana

yani hamna nyimbo yake na skip hata moja

ni moja kati ya waimbaji wa injili watakaodumu milele na milele

maana style ya uimbaji wake hakuna wakuweza iiga

For time being nasikiliza "lini utapita kwangu" aseee acheni bana

Ana kitu ndani yake huyu mtu acheni amtumikie Mungu na wengne Tubarikiwe kupitia yeye.

Kama ni stars

Abiudi nam rate 5 stars
Mi mwimbo wa hutaaaa nisahau wewe Mungu wa huruma hutamishauuu yani acheni tu
 
Namkubali sana huyu mzee, very talented very discipline .. Mungu ambariki aiseh
 
Huu uzi umenifunulia kitu kimoja,kutokana na kuona miandiko mingi ni ya wadada.
Leo nimegundua kuwa asilimia kubwa ya wadada wa JF ni "wapenda Mungu" japo kwa kila mtu kwa aina yake.
Mungu awabariki sana.

Wanampenda Mungu au wanampenda abiud?
 
Back
Top Bottom