Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,581
- 25,656
Aisee huyo jamaa anaimba sana mimi pia namkubali Sana ..
Missed you too.I have missed you
Am so busy now days
Mzima lakiniMissed you too.
Pole sana and good luck.
My number one Gospel singer Tz, anaimba Biblia tupu, Abarikiwe sana.
Abarikiwe abiud
Ni kweli haeleweki kabisa.
Kweli hazichuji tofauti na waimbaji wengine.Nadhani ni moja ya waimbaji wenye nyimbo nyingi na hazichuji.Ukiwa unaimba nyimbo zake unajikuta kama unasali vile dah!
MUNGU amejua kumtumia vizuri Abiud.
Tatizo ana copy sana sauth Africa bora niendelee kumcheki Sarah k kuliko hao
State agent
Nilionana nae uso kwa uso tukuyu mbeya na akaibariki familia yangu aisee Ni mtu humble sana