Hii reggae huwa inanibariki sana.Nakazia...
Currently listening “ Nani atanitazama”
Abihudi.... Siyo AbiudiEe Mwenyezi Mungu nakuomba endelea kubariki kazi za Abiudi Misholi na sauti yake ikawe uponyaji wa mioyo yetu leo na hata kesho kwa kadri upendavyo.
Nimekutana nae Mara nyingi sana na nimehurudhia mikutano yake...Mara ya mwisho niliweka mpaka appointment nae niongee nae ikashindikanaHapana
Nikipataga safari za mbeya mara nyingi nakuwa busy na kazi za watu mpaka nakosa muda wa kuzurula,lakini one day yes nitaonana nae tu!!Nimekutana nae Mara nyingi sana na nimehurudhia mikutano yake...Mara ya mwisho niliweka mpaka appointment nae niongee nae ikashindikana