Munalove: Bilionea mwenye utu!

Munalove huyu ninayemjua mimi huyu leo anaitwa bilionea? Mkuu unamfahamu Munalove au unamuona tu kwenye post za insta? Achilia mbali kuwa Billionea wa tshs hata umilionea usiyozidi 5 mls kuna muda unampa shida kweli kweli.
Kwa hiyo ni Elfuonea?
 
Hahaha haha I think Huyu ni bilionea wa kwanza duniani hamiliki hata boda boda
 
Munalove huyu ninayemjua mimi huyu leo anaitwa bilionea? Mkuu unamfahamu Munalove au unamuona tu kwenye post za insta? Achilia mbali kuwa Billionea wa tshs hata umilionea usiyozidi 5 mls kuna muda unampa shida kweli kweli.
Hata boda boda hana, kule Mbweni anakokaa mvua ikinyesha inabidi usiingie ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…