Munalove: Bilionea mwenye utu!

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,481
32,077
Bilionea huyu tofauti na wengine ana roho ya kipekee katika kusaidia Wasanii (wanamuziki na waigizaji) pia amekua akisaidia watoto wenye matatizo ya kiafya kupitia taasisi yake (Foundation). Nikutakie heri ya mwaka 2021.
PENDEKEZO: Tunaomba anzisha hospitali ya kusaidia watoto (Muna Children's Hospital) ili ufikie wengi
 
Bilionea huyu tofauti na wengine ana roho ya kipekee katika kusaidia Wasanii (wanamuziki na waigizaji) pia amekua akisaidia watoto wenye matatizo ya kiafya kupitia taasisi yake (Foundation). Nikutakie heri ya mwaka 2021.
PENDEKEZO: Tunaomba anzisha hospitali ya kusaidia watoto (Muna Children's Hospital) ili ufikie wengi
Munalove huyu ninayemjua mimi huyu leo anaitwa bilionea? Mkuu unamfahamu Munalove au unamuona tu kwenye post za insta? Achilia mbali kuwa Billionea wa tshs hata umilionea usiyozidi 5 mls kuna muda unampa shida kweli kweli.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom