bora huyo kawa mkweli na muwazi na analolitaka kuliko angedanganya anakupenda kumba ana nyumba ndogo. we sepa tu, anza maisha yako kivyako
Ahsante kwa ushauri muruwa, nadhani ataelewa kwanini umenimention na atachukua hatua chapchap sana.
Hakika wewe ni ndugu yangu wa ukweli.
ondoka tu aisee wala usijipe magonjwa ya moyo
Sepa, unasubiri nini na hali kasema mwenyewe?
Nyie mko wengi na sie ni kidogo kwa hivyo wacha tuwe matonya kwenu, si mnajipendekeza?
Habari wana JF.
Nilikuwa masomoni,nimerudi likizo nimekuta mume wangu kaoa,hajali ujaji wangu,na kasema kama nakwazika nisepe yeye hataki wasomi.
yeye ni form4 na mimi ni degree.
Nisaidieni jamani.
jembe, hivi kweli wewe utakuja kupata tatizo na uombe ushauri au wewe ndie malaika mleta shida? tafakari ulichocomment na mada yenyewe kama ni sawa.
naenda sokoni
Huna lolote, kwekwerekwe tu
Du hapo upo wrong kipenzi changu! Ninao wawili kama nyinyi na tena wa ndowa na nawapa vya ndani na vya nje!
Cha nje ni tigo au?