Mume wangu kaibiwa nikiwa masomoni

Mume wangu kaibiwa nikiwa masomoni

huyo hubby wako hajitambui hata kidogo, angaliaa usijeambukizwa magonjwa coz anaonekana kutapatapa sana.. kashindwa kutofautisha degree na mwanamke.
 
Shukuru Mungu huwezi jua kakuepusha na mengi, anza ukurasa mwingine.
 
Nilikuwa masomoni,nimerudi likizo nimekuta mume wangu kaoa,hajali ujaji wangu,na kasema kama nakwazika nisepe yeye hataki wasomi.
yeye ni form4 na mimi ni degree.

Naomba kuuliza...

Upo mwaka wa ngapi wa masomo?

Umefunga ndoa ukiwa na umri gani?
 
pole xana bt mume haibiwi ndugu anajiondokea mwenyewe akiamua
 
Habari wana JF.

Nilikuwa masomoni,nimerudi likizo nimekuta mume wangu kaoa,hajali ujaji wangu,na kasema kama nakwazika nisepe yeye hataki wasomi.
yeye ni form4 na mimi ni degree.

Nisaidieni jamani.

''kuwa ndani ya ndoa inabidi ukubali makosa.. chagua mmoja ataekufaa kwa maisha'' by squeezer, song; bachelor.
 
Shukuru Mungu huwezi jua kakuepusha na mengi, anza ukurasa mwingine.

labda huyo ndo wa kwanza aliyembikiri.. huwezi jua alishaacha kila kitu kwake!

kulirefresh maisha nako ni kazi..!! hilo donda halitibiki kirahisi!
 
labda huyo ndo wa kwanza aliyembikiri.. huwezi jua alishaacha kila kitu kwake!

kulirefresh maisha nako ni kazi..!! hilo donda halitibiki kirahisi!

Ni kweli ila wakati mwingine inabidi kufanya maamuzi magumu na yakuumiza, huwezi jua kuna sehemu bora zaidi ya hapo.
 
dada endelea na maisha yako hujui Mungu kakuepusha na nini, kwanza mwanamke ukiwa umesoma na mume hajasoma huwa hawajiamini anakuwa anahisi utamtawala na elimu yako nimeshuhudia kwa rafiki yangu mumewe hashauriki anaona kama anafundishwa na kutawaliwa so anakuwa mkali kwa kila kitu. Kisicho ridhiki hakiliki.
 
Pole dada jipange uanze upya maisha, kuna wanaume hawajiamini wanapokutana na kinadada wenye elimu zaidi yao.
 
Ni kweli ila wakati mwingine inabidi kufanya maamuzi magumu na yakuumiza, huwezi jua kuna sehemu bora zaidi ya hapo.

mwanamke hata asome na awe na degree saba, maamuzi magum huwa ni vigumu sana kufanya pale wanapopenda ifekitule!

huyo ataishia kulia lia kila siku..
 
Habari wana JF.

Nilikuwa masomoni,nimerudi likizo nimekuta mume wangu kaoa,hajali ujaji wangu,na kasema kama nakwazika nisepe yeye hataki wasomi.
yeye ni form4 na mimi ni degree.

Nisaidieni jamani.

ujaji si ndo sheria mkononi eenh!!

hebu kamfungulie kesi moja matata sana.. hiyo itakuwa sehemu ya field yako nyamlega!

go girl! you can do it.. you women run the world! you rock! you drive us crazy you know!

do something for your life sake!
 
Last edited by a moderator:
Mume haibiwi bali anapumzishwa mahali tu!!!!! hakufai huyo songa mbele maisha ni zaidi ya ndoa.
 
Back
Top Bottom