Mbona hii story haijakaa sawa ? Hawezi ku make luv, then ukaanza umalaya halafu unasema huyo mwanafunzi sijui work mate hajui mapenzi na hafiki hata nusu ya mmeo... ???
Pamoja na ushauri mzuri sana wa Michelle! Jaribu kufutilia sana ujue chanzo cha haya yote ni nini hasa. Hapa nakusudia kusema kuwa kuna ukweli kuwa mara nyingi tu (say 90%plus) matatizo mengi has ya kutoka nje ya ndoa huwa yanachangiwa na pande zote. Kama ni kweli kuwa ni yeye ndiye alianza kupotoka basi jicheki je kwa wakati huo alipoanza kupotoka ni nini kilikuwa hakiendi vizuri kwa upande wako? Jaribu kujichunguza sana utaona kuna kasoro ilitokea pahala iwe kwa hila za ibilisi au vinginevyo.
Hellow BAK, nimemwandikia huwezi jua labda una jini mahaba,sina uhakika kama analo,ila najua majini mahaba yapo na yanafanya kazi,kuna wamama/wadada kabisa anakuja kanisani mumewe hataki kabisa kushiriki tendo la ndoa na yeye,anaombewa na akienda na mambo yanabadilika.yapo na yanafanya kazi yake vizuri tu.Hilo la kujiridhisha na ukaridhika sana hivyo,sijui mimi anajishughulikiaje mwenyewe mwanamke,najua wanaume hufanya,ila kwa mwanamke tena kwenye ndoa,kuna tatizo BAK,kwa source yeyote ya tatizo lake,autafute uso wa Mungu,huko atapata amani na nguvu ya kundelea kuishi na mumewe katika kipindi hiki cha mpito,najua atashinda,ameshajua ana tatizo,ameshuriwa na watu wengi hapa vizuri na yaelekea ni msikivu,the rest its up to her.......
Hizi hadithi za kufikirika jamani zipunguzwe.
Thanks Keren,kuhusu kuleta mambo yahusuyo partner huku,nafikiri watu hadi wanayaleta kweli wanakuwa wamelemewa,yataka moyo kueleza ukweli wote huu,ila sidhani kama ameshamuambia mumewe kuhusu cheating au huo mpango wa kwenda kwa mganga,so kidogo itamuwia ngumu mumewe kuelewa,kuna namna nafikiri wanaweka mambo ili mhusika asielewe ni yeye labda ahisi tu.....mtizamo,ngoja tusikie wengine!!!
Mpake ndimu na pilipili anaponyea...:flame:mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.
mke ni kama nyama ya tembo hata ule vipi peke yako hautoimaliza...
kumbe nyama ya tembo inaliwa!
mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.
Mpake ndimu na pilipili anaponyea...:flame:
mie nina ushauri tofauti kidogo na watu wengine
Ki-ukweli na kisayansi kabisa unapofanya kitu cha aina moja kwa kukirudia muda mrefu uwa kinachosha hii ni kwa kazi, chakula, mapenzi, tendo la ndoa n.k, pia ni wengi tu (w/ume) uwa wanashindwa kufanya mapenzi ipasavyo na wake zao kutokana na mazoea na kuchokana (kitendo la ndoa) hivyo uishia kupiga bao moja tu au kutosimamisha kabisa ilhali wakitoka nje ya ndoa wanapiga hata bao 3 au zaidi kwa usiku mmoja.
Cha kufanya ni kujenga mazingira (ya kisaikolojia) ambayo yatamfanya huyo m/ume apate mvuto kwa mkewe kawa kufanya vitu ambavyo vitaamsha amasa na hamu ya tendo la ndoa kama:
1. kusafiri mbali na kumpigia simu za kimahaba
2. kumvalia mavazi ambayo yatamfanya kutokwa na udenda juu ya ngono
3. Kumchezea (love play) kabla hamjaenda kitandani (hii ina maana unamjengea hisia kabla hata ya muda wa tendo)
4. Jaribu kufanya mapenzi nje ya mazingira mliyozoea kufanyia kila wakati kama hotelini, jikoni, bafuni n.k
5. Ondoeni tofauti mlizonazo ambazo zinaleta ugomvi, chuki na hasira
6. Ongeeni lugha nzuri yenye hisia ya kimapenzi baina yenu
7. Jengeni utamaduni wa kwenda kwenye nyumba za ibada pamoja
mnataka kwenda kwa mganga wa jadi bure wakati wachawi ni nyinyi wenyewe
Ushauri wa haraka: Isikie sauti ya Mtu Aliaye Jangwani, TUBUNI NA KUIAMINI INJILI. Shika amri za Mungu kwanza. Kwa nini uzini kwanza ndipo uje kuomba ushauri JF? Omba ushauri mwa wa tatizo na si katikati yake.
Ushauri zaidi: Maelezo yako ni mafupi mno kiasi cha kumuwezesha mtu kukushauri. Inatakiwa na mme wako naye asikilizwe ili kujua tatizo liko wapi. Mara nyingi, upande mmoja haufai kusikilizwa kama unataka kuamua shauri.