mume wangu jamani

Gaga

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,558
1,968
mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.
 
mimi nimeolewa miaka mingi iliyopita nimeishi kwa amani na upendo na mume wangu,pia mungu katujalia watoto na mali lukuki, kwa kifupi sina shida.ila sasa matatizo yameingia ndani ya nyumba.
huu ni mwaka wa nne mume hawezi ku make love na mimi ila kukuta na msg za madem nakuta,moyoni najiuliza hivi hawa nao anatia nao story tu?nilivumilia sana nikaanza kutembea nje,wa kwanza mwanachuo mwenzangu yaani upuuzi mtupu mapenzi hamfikii hata robo mume wangu,wa pili mfanyakazi mwenzangu nae ndo kabisaa akicome anajipiga kichwa then analia kama mbuzi hee:frusty: mwisho nikaamua nitulie tu home.
mwaka mmoja nyuma nikabuni kamtindo ka kujiridhisha mwenyewe nikaona raha ajabu mpaka miezi minne nyuma nikambana mume akakubali NJE AKIENDA ANAPIGA MZIGO KAMA KAWA AKIJA KWANGU ANASHINDWA!!!!! jamani wana jf wenzangu nisaidieni mwanamke wake kamloga au mimi ndio nina matatizo? na kama ni mm mbona wale watu walipiga mzigo kama kawa?? na mbona akiwa anataka kufanya mapenz jogoo anawika akinigusa tu inasinyaa jamani duniani kuna mambo na mateso ya kila aina
kuna mtu kanishauri niende kwa mganga mwanamke wake wa nje kamloga.niende?kuna mtu tatizo kama hili lishampata?nifarijini na mnishauri mwenzenu nateseka sana.

Hapo kwenye red HAPANA.
 
1. Hatua ya kwanza ni kutubu,Mungu akusamehe,umekosea sana,hushindani na ibilisi ndani ya mumeo kwa kumuunga mkono ibilisi kwa mwanaume mwingine.Si suluhisho,na nakuambia huko ulikoenda ndo umeenda kutafuta shida.

2.Hako katabia ka kujiridhisha mwenyewe kaache,huwezi jua unashughulikiwa na majini mahaba,nenda kanisani usikie shuhuda za watu,wanaondo uhusiano wowote na mwanaume mwingine kwa mambo kama hayo,mwanaume hawezi fanya mapenzi.Mungu aliyewaunganisha anajua kwanini alituweka tofauti na akaweka ilo tendo la ndoa.

3.Usiende kwa mganga nakusihi tena sana,piga magoti muombe Mungu,unaenda chukua pepo lingine huko,Mungu ni zaidi ya yote,sali sana na uwe na subira atakujibu,nenda kwenye maombi/dua za pamoja na wenzio,usiruke kwa mganga.

4.Kaa mbali na marafiki wabaya wakati huu ukiwa na matatizo,zungumza na Mungu,mumeo,mama au hata dada......usitii ushauri wa kwenda kwa mganga hata kama unatoka kwa mama yako,huyo hawara kama unahisi alikulogea kwa mganga,we unaenda fanya nini?gharama za bure,yupo Mungu.
 
Pole sana, mwambie mumeo aongee na wazee wa kwao watajua jinsi ya kumsaidia, wewe katu usiende kwa mganga; ukienda utazoea kila kitu utataka uende huko huko hata kwenye mambo /mitihani ya kidunia.
 
Mbona hii story haijakaa sawa ? Hawezi ku make luv, then ukaanza umalaya halafu unasema huyo mwanafunzi sijui work mate hajui mapenzi na hafiki hata nusu ya mmeo... ???
 
Kama una amini Mungu kuwa yeye ndo aliyekupa huyo mume,toka mwanzo muombe huyo huyo atakusaidia kumrudisha kwenye hali
yake ya kawaida kama alivyokuwa mwanzo.Nakushauri pliz pliz usiende kwa mganga kwani ndio utaongeza matatizo zaidi zaidi.
 
pole dada kwanza hayo uliyoyafanya kama kisasi siungi mkono,la pili ktu usiende kwa mganga huko ni kwenda kubeba mapepo mengine na kuleta ndani mtegemee Mungu atakuonyesha njia ipasayo kupita kaa ongea na mumeo kama ikishindikana tafuta watu wazima wenye busara uwaeleze watakusaidia huo mchezo wa kujiridhisha mwenyewe pia sio mzuri acha utakuja kukuletea matatizo baadae.
 
Yani we umetoka nje kwanza alafu ndo utafute utatuzi wa tatizo??Kwanini hukuanza na kuomba ushauri..kujaribu kurekebisha mambo yenu na kutatua tatizo mlilokua nalo??MICHELLE UKO WAPI MAMA?Kwa style hamna kudanganyika!
 
1. Hatua ya kwanza ni kutubu,Mungu akusamehe,umekosea sana,hushindani na ibilisi ndani ya mumeo kwa kumuunga mkono ibilisi kwa mwanaume mwingine.Si suluhisho,na nakuambia huko ulikoenda ndo umeenda kutafuta shida.

2.Hako katabia ka kujiridhisha mwenyewe kaache,huwezi jua unashughulikiwa na majini mahaba,nenda kanisani usikie shuhuda za watu,wanaondo uhusiano wowote na mwanaume mwingine kwa mambo kama hayo,mwanaume hawezi fanya mapenzi.Mungu aliyewaunganisha anajua kwanini alituweka tofauti na akaweka ilo tendo la ndoa.

3.Usiende kwa mganga nakusihi tena sana,piga magoti muombe Mungu,unaenda chukua pepo lingine huko,Mungu ni zaidi ya yote,sali sana na uwe na subira atakujibu,nenda kwenye maombi/dua za pamoja na wenzio,usiruke kwa mganga.

4.Kaa mbali na marafiki wabaya wakati huu ukiwa na matatizo,zungumza na Mungu,mumeo,mama au hata dada......usitii ushauri wa kwenda kwa mganga hata kama unatoka kwa mama yako,huyo hawara kama unahisi alikulogea kwa mganga,we unaenda fanya nini?gharama za bure,yupo Mungu.

Good advice Michelle, cheers!
 
1.
Mungu si sawa na mganga wa kienyeji, kama humwamini Mungu si rahisi kuziona rehema zake kwani mwenye haki wake huishi kwa imani.
2.
hiyo nyumba yako inaonekana si ushuhuda mzuri wa ndoa takatifu. nlivyoelewa mimi ni kuwa mumeo alikuwa wa kwanza kutoka nje ya ndoa, na wewe kwa kuendekeza tamaa zako hasa mumeo alipopoteza appetite na wewe nawe ukaanza kutoka nje ya ndoa, ulipoona bado nyumba haijakaa sawa ukaanza kjichua tena unasema ulifurahia hako kamchezo, mwisho unageukia JF kutafuta ushauri, na bado una mawazo ya mganga. this is a fatal syndrome in your home! you need a complete overhaul of yourself and your family. kumgeukia Mungu kama unavyogeukia panadol ukiumwa na kichwa siyo sawa. Mungu wapaswa kumwendea kwa imani na lazima maisha yako pia yawe maisha ya mtu mwenye imani kwa Mungu.
3.
hapao kwenye ndoa yako mumemkaribisha ibilisi sasa anawaendesha mchakamchaka. mwapaswa kumkana ibilisi na mambo yake yote. mkichukua hatua ya pamoja wewe na mumeo ni vizuri, ila mumeo akiwa mgumu, wewe mwenyewe chukua a leading role. vaa utu wema wa mke mwema na ingia kwenye maombi bla kuchoka Mungu atasikia kilio chako

ubarikiwe sana
 
Mbona hii story haijakaa sawa ? Hawezi ku make luv, then ukaanza umalaya halafu unasema huyo mwanafunzi sijui work mate hajui mapenzi na hafiki hata nusu ya mmeo... ???

kumbe na wewe umeistukia eeh!
Story ya kuunga unga nafikiri lengo ni kutuburudisha ila binafsi imenichefua.
 
mafuruto ya dunia ni mengi na kama hayajakukuta huwezi jua inakuwaje kabisa
 
sorry kama nimewachefua kwa kifupi duniani mambo kama hayo ni mengi na kama hukupata ushauri kipindi hicho ungesikia mengi zaidi ya hayo.wengi wapo humu ila kusema hawawezi
 
1. Hatua ya kwanza ni kutubu,Mungu akusamehe,umekosea sana,hushindani na ibilisi ndani ya mumeo kwa kumuunga mkono ibilisi kwa mwanaume mwingine.Si suluhisho,na nakuambia huko ulikoenda ndo umeenda kutafuta shida.

2.Hako katabia ka kujiridhisha mwenyewe kaache,huwezi jua unashughulikiwa na majini mahaba,nenda kanisani usikie shuhuda za watu,wanaondo uhusiano wowote na mwanaume mwingine kwa mambo kama hayo,mwanaume hawezi fanya mapenzi.Mungu aliyewaunganisha anajua kwanini alituweka tofauti na akaweka ilo tendo la ndoa.

3.Usiende kwa mganga nakusihi tena sana,piga magoti muombe Mungu,unaenda chukua pepo lingine huko,Mungu ni zaidi ya yote,sali sana na uwe na subira atakujibu,nenda kwenye maombi/dua za pamoja na wenzio,usiruke kwa mganga.

4.Kaa mbali na marafiki wabaya wakati huu ukiwa na matatizo,zungumza na Mungu,mumeo,mama au hata dada......usitii ushauri wa kwenda kwa mganga hata kama unatoka kwa mama yako,huyo hawara kama unahisi alikulogea kwa mganga,we unaenda fanya nini?gharama za bure,yupo Mungu.
Huu ni moja ya ushauri wa busara kabisa kuwahi kukutana nazo, sina cha kuongeza dada zingatia huu :A S 39:
 
asante sana dada michelle kwa ushauri mzuri nafikiri nitaanza nao mapema zaidi
 
Back
Top Bottom