DE FULE
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 1,213
- 714
Shikamoo ushimenUkiwa muongo, usiwe msahaulifu...[emoji13] [emoji13]
Nini sababu za kuchepuka?
Shikamoo ushimenUkiwa muongo, usiwe msahaulifu...[emoji13] [emoji13]
Nini sababu za kuchepuka?
Comrade.....Mh! Weye mkali Mkuu. Ushafanya ushushushu wako lol!
Mkuu....Shikamoo ushimen
Comrade.....
Mini muhenga ujue....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na huyu mleta mada, ni aina ya wanawake ambao huwachukia waumezao hasa baada ya kufanikiwa, wanaanza kuwadharau waume walio anzanao maisha from the scratch.
Nilipo pitia threads zake, nikagundua mama anajeuri kwakua anauwezo wa kujihudumia na kisomesha wanae.
Mbaya zaidi, alipoonja mkuyenge wa pembeni ndio ukamchanganya na kumuona mumewe hamfai tena.
Leo anataka talaka ili awe huru na huo mchepuko uliochanganya akili
Hatari sana ushimenMkuu....
Ukipitia threads za huyu mtu utagundua.......
Kuna mkuyenge umesha mchanganya na sasa anataka uhuru, na amemuona mumewe sikitu tena
Tena fedheha kabisa hiiHatari sana ushimen
Samahani, unaweza fafanua hii kauli.matatizo mengine ya kimaumbile
Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitajiSamahani, unaweza fafanua hii kauli.
Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji
Huyo mume unaemsema, ndie huyu ulieanza kutusimulia chuki juu yake kwamba ni m-binafsi na mvivu kila idara...[emoji45] [emoji45]
Kwa nini unawaza kubomoa ukuta uliojenga mwenyewe
Kama ameomba msamaha mrudie mulee watoto mmugomvi wako usisababishe watoto wakakosa malezi ya baba, watoto wanaumia sana wanavyolelewa na mzazi wa kufikia kisa ww umeshindwa kusamehe
sizonjemadawa
Point...Comrade.....
Mini muhenga ujue....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na huyu mleta mada, ni aina ya wanawake ambao huwachukia waumezao hasa baada ya kufanikiwa, wanaanza kuwadharau waume walio anzanao maisha from the scratch.
Nilipo pitia threads zake, nikagundua mama anajeuri kwakua anauwezo wa kujihudumia na kisomesha wanae.
Mbaya zaidi, alipoonja mkuyenge wa pembeni ndio ukamchanganya na kumuona mumewe hamfai tena.
Leo anataka talaka ili awe huru na huo mchepuko uliochanganya akili
Hana muda.....Aiseeeeeee......[emoji47] [emoji47] [emoji47]
Mambo mengine bhana.....[emoji15] [emoji15]
Yaani unashindwa kufanya maamuzi yako binafsi kwa mustakabali wa maisha yako....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji
Huyo mume unaemsema, ndie huyu ulieanza kutusimulia chuki juu yake kwamba ni m-binafsi na mvivu kila idara...[emoji45] [emoji45]
mungu anakuona si kwa maneno hayo