Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

Kumbe shida hujawahi kukojozwa kuna dokta Manyau nyau wa kukojoza watu kama nyie
 
Huyu anatia shaka

1. Anasema Hana muda yuko bize na Ankara

2. Sababu anayoitoa ya kudai talaka mojawapo ni maumbile. Hivi Adi anazaa naye hayo maumbile hakuyaona? Je Leo kapata mtu wa kufanya anavyotaka ndo analeta kelele za hatunzi watt matatizo ya kifamilia.....chaaaa wanawake hebu tuwahurumie watt wetu. Mungu anatuona.

Hivi kbs mwanamke unakuwa binafsi kuliko hata fisi? Sheree zote unataka ule ww? Wanaoje u alitaka kwakuza bila baba? Ama na mbaba lukuki?

Hiyo jeuri uliyonayo ipo siku itatoweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta mwanasheria mlipe afanye hiyo kazi pesa yako tu... ila tafuta sababu nyingine nzuri kama alitelekeza familia.
 
Huyu anatia shaka

1. Anasema Hana muda yuko bize na Ankara

2. Sababu anayoitoa ya kudai talaka mojawapo ni maumbile. Hivi Adi anazaa naye hayo maumbile hakuyaona? Je Leo kapata mtu wa kufanya anavyotaka ndo analeta kelele za hatunzi watt matatizo ya kifamilia.....chaaaa wanawake hebu tuwahurumie watt wetu. Mungu anatuona.

Hivi kbs mwanamke unakuwa binafsi kuliko hata fisi? Sheree zote unataka ule ww? Wanaoje u alitaka kwakuza bila baba? Ama na mbaba lukuki?

Hiyo jeuri uliyonayo ipo siku itatoweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena mubashara mkuu gfsonwin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa serious ungekuta ameshakupa your divorce muda ila unamchekea huyo or else uwa mnakumbushiana
 
Miaka 8 uko busy kutaka talaka? au sasa ndio umempata anae kuridhia ndio unaitaka talaka?
 
Matatizo ya kimaumbile???Kwa nini ulikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia!![emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ha ha ha akisema hiyo hatashinda
Yaan sijui alotuloga wanawake ni nani?

At times unaweza ukamshauri mtu aondoke kwasababu ya mateso anayopata.

Ila kuna wakati unafika unasema hivi huyu mwanamke mwenzangu aliyemwambia kuwa wanawake wote kwenye ndoa huwa wanafikaga ni nani?

Haya ndo makosa ya watu kubwa story za saluni nyumban. Ukiskia mtu akijisifu bwana angu mie yaan ananipiga Adi v3, yaan ukijitazama wew hata kufika tuu hupajui licha ya kuingia leba mara 5. Ukifika home unaakazana kuukodolea macho mshedede wa mwenzio na kuutaftia kasoro kumbe kasoro unazo ww pasi kujua lol!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan sijui alotuloga wanawake ni nani?

At times unaweza ukamshauri mtu aondoke kwasababu ya mateso anayopata.

Ila kuna wakati unafika unasema hivi huyu mwanamke mwenzangu aliyemwambia kuwa wanawake wote kwenye ndoa huwa wanafikaga ni nani?

Haya ndo makosa ya watu kubwa story za saluni nyumban. Ukiskia mtu akijisifu bwana angu mie yaan ananipiga Adi v3, yaan ukijitazama wew hata kufika tuu hupajui licha ya kuingia leba mara 5. Ukifika home unaakazana kuukodolea macho mshedede wa mwenzio na kuutaftia kasoro kumbe kasoro unazo ww pasi kujua lol!

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili hakuna tunakosa utulivu na kutokujua kipi muhimu katika maisha yetu pamoja na ubinafsi
 
Ngoja niharibu Hali ya hewa hapa.

Kama huyu mleta mada ni ukweli alichoandika hapa. Asome hii post aielewe.

Huo mkuyati unaodhan ndio faraja yako kwasasa kuliko Furaha na amani ya kweli huko unakokwenda utakwenda kukutokea puani. Yaani badala y kukupa raha utajikuta huwez hata kuufaidi.

Kaa nyumban kwako mfundishe mumeo jinsi unavyotaka kufanywa na sio kukimbia kimbia tuu. Wanaume wote usipowaelekeza jinsi ya kukupa mambo hata awe nani lazima atachemka tuu.

Acha ubinafsi ww mwanamke. Yaani ulitakiwa kukutana na mtu kaa mzabzab ama @mwanamtoka pabaya ama kaka yangu kipenzi Bazazi wakupe tungo za uhakika. Ubinafsi mbaya sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom