lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 197
Jamani wana JF maji yamenifika shingoni,
Ni mume wangu nampenda na kumuheshimu sana ila kuna mambo yanayonikera,mda mwingine ananilazimisha nikae naye kwenye baa mpaka usiku sana nikimshauri kuwa inatosha twende nyumbani yeye anakuwa mkali na kuniamuru nichukue gari au tax nirudi nimuache yeye na mimi kwakuwa sitaki kumuacha inanilazimu kumsubiri mpaka anapotaka yeye kuondoka huwa inaniuma sana kiukweli.
Nimekuwa naye kwa miaka 10 sasa, tuna watoto wawili wadogo sana (under 5 yrs) ila anapenda sana kukaa kwenye ulevi mara nyingine harudi nyumbani ukimuuliza anasema alikuwa na marafiki zake nimemsihi mara nyingi aachane na mambo ya ulevi tufanye maisha kwaajili ya watoto wetu anajifanya anaitikia ila baada ya siku chache anarudia makosa yaleyale,na kuna wakati najiskia kuchoka kuishi naye na natamani nikaanze maisha mapya na watoto wangu nitafute nyumba ya kupanga na niondoke bila ya kumuaga ili afanye mambo yake akishamaliza ndipo turejee (kama atafanikiwa kuyamaliza) .
Tumebahatika kujenga nyumba moja ambapo ndio makazi yetu kwa kipato ambacho kimepatikana na biashara ambayo tuko share mr &mrs(kujenga kwenyewe ilikuwa kazi hataki ilibidi nifunge kwa maombi) toka tuhamie kwetu hamna cha maana ambacho amekifanya zaidi ya kulewa ,night club etc.yeye hajaajiriwa popote ila naumia maana yeye anafuja mali, mimi nimeajiriwa shirika binafsi (no security kama serikalini)huwa najiuliza sana ikitokea tatizo lolote watoto wale ntawaleaje?Nampenda naye hudai ananipenda ila sielewi mwisho wetu utakuwaje?
Naomba ushauri wenu jamani
Ni mume wangu nampenda na kumuheshimu sana ila kuna mambo yanayonikera,mda mwingine ananilazimisha nikae naye kwenye baa mpaka usiku sana nikimshauri kuwa inatosha twende nyumbani yeye anakuwa mkali na kuniamuru nichukue gari au tax nirudi nimuache yeye na mimi kwakuwa sitaki kumuacha inanilazimu kumsubiri mpaka anapotaka yeye kuondoka huwa inaniuma sana kiukweli.
Nimekuwa naye kwa miaka 10 sasa, tuna watoto wawili wadogo sana (under 5 yrs) ila anapenda sana kukaa kwenye ulevi mara nyingine harudi nyumbani ukimuuliza anasema alikuwa na marafiki zake nimemsihi mara nyingi aachane na mambo ya ulevi tufanye maisha kwaajili ya watoto wetu anajifanya anaitikia ila baada ya siku chache anarudia makosa yaleyale,na kuna wakati najiskia kuchoka kuishi naye na natamani nikaanze maisha mapya na watoto wangu nitafute nyumba ya kupanga na niondoke bila ya kumuaga ili afanye mambo yake akishamaliza ndipo turejee (kama atafanikiwa kuyamaliza) .
Tumebahatika kujenga nyumba moja ambapo ndio makazi yetu kwa kipato ambacho kimepatikana na biashara ambayo tuko share mr &mrs(kujenga kwenyewe ilikuwa kazi hataki ilibidi nifunge kwa maombi) toka tuhamie kwetu hamna cha maana ambacho amekifanya zaidi ya kulewa ,night club etc.yeye hajaajiriwa popote ila naumia maana yeye anafuja mali, mimi nimeajiriwa shirika binafsi (no security kama serikalini)huwa najiuliza sana ikitokea tatizo lolote watoto wale ntawaleaje?Nampenda naye hudai ananipenda ila sielewi mwisho wetu utakuwaje?
Naomba ushauri wenu jamani