Mume wangu hataki kuacha hela ya matumizi

Mume wangu hataki kuacha hela ya matumizi

Uliongea na mumeo kuhusu iyo biashara?
Alikuruhusu Uifanye ?
Polesan jaribu kuongea nae ila kuhukumu upande mmoja nayo sio vizuri
Uzi ulitakiwa uishie hapa ,pengine mume hakutoa baraka za kuanzisha hiyo Biashara
Hivyo anaishi na tasfiri yake kwamba unafanya unaingiza kipato hivyo ujikimu,
Mwanzo alitoa hela kwa sbb hukuwa na kazi
Kutokana na kazi Kuna majukumu mengine hutimizi vizuri.

Ukikaa naye kwa upendo mkoongea Kama Wana ndoa atakuambia na mwisho utamjenga akikataa achana na biashara hiyo uza peleka rejesho kodisha banda lipa ongezea kwenye rejesho
Urejeshe amani ktk ndoa yako.

Wanawake wengi siku hizi wawajui kuongea na mabwana zao kwa heshima na kimahaba katika kuweka Mambo sawa au kuomba ruhusa flani flani wanaona wanaweza kuamua bila kupangiwa au kuelekezwa
NB: Baba ni mtawala wa Nyumba ipo hivyo haitaji maswali Wala majadiliano .
Mwanamke akijua hili kifo ndio kitawatenganisha
 
Au mama mkwe katune AM frequency za mwamba 🤔

Au jamaa ana wivu alitaka ukae nyumbani usifanye kazi wewe ukalazimisha (japo siungi mkono dunia ya leo mwanamke kukaa kindezi).
 
Atafanya haya mpaka lini?. Ndio atakuwa ametatua tatizo?. Mpeni mwenzenu permanent solution 😀.Mambo ya nyumba yanahitaji hekima sana, na wakienda jino kwa jino, jahazi halifiki bandarini lazima watagawana mbao.
Kaka, wanawake tunapitia magumu Sana,imagine Hawa ndio waume zetu wa kizazi hiki!hawataki kutimiza majukumu yao wanataka kutimiziwa,huyo hata apelekwe kwenye Baraza la wazee am sure hiyo tabia yake hatoicha,Sasa hapo nimpe ushauri gani sijui dada wa watu.
 
Hata hili tatizo nalo akashitaki kwa wadhamini na kwa pastor seriously?. Yapo mambo mazito ya kupeleka huko, ila hili anatakiwa a solve unknowns. Alikuwa anatoa, akaacha kwanini?. Je kipato kipo, au hakipo?. Na kama kipo hatoi kwanini, na kama hustle haijakaa sawa ampe muda. In fact ni jambo la kukaa na mumewe kuzungumza sio kuli amplify kama ni bomu linalotaka kulipuka.
kama ana akili sawasawa atauchukua huu ushauri ,, umemshauri kwa hekima sana
 
Back
Top Bottom