miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
Habari zenu?
Poleni na majukumu ya kila siku, swali langu ni kwamba je ni sahihi mwanaume kutokuacha hela ya matumizi nyumbani? Binafsi nina miezi miwili toka nifungue biashara ya mgahawa hata bado haijachangamka ila toka nifungue Mume wangu hataki kuacha hela ya matumizi kama mwanzo wakati mtaji wenyewe alikataa kunipa, nimekopa sahivi nina kazi ya kulipa madeni na kulisha familia, tuna mtoto mmoja.
Kwakweli hili swala linaniumiza sana akili, nikimuuliza anadai hali ni ngumu hana hela wakati kabla sijaanza hii biashara alikuwa kila asubuhi anaacha elfu 10 mezani. Naombeni msaada wenu vipi hili Jambo ni sahihi au siyo sahihi?
Poleni na majukumu ya kila siku, swali langu ni kwamba je ni sahihi mwanaume kutokuacha hela ya matumizi nyumbani? Binafsi nina miezi miwili toka nifungue biashara ya mgahawa hata bado haijachangamka ila toka nifungue Mume wangu hataki kuacha hela ya matumizi kama mwanzo wakati mtaji wenyewe alikataa kunipa, nimekopa sahivi nina kazi ya kulipa madeni na kulisha familia, tuna mtoto mmoja.
Kwakweli hili swala linaniumiza sana akili, nikimuuliza anadai hali ni ngumu hana hela wakati kabla sijaanza hii biashara alikuwa kila asubuhi anaacha elfu 10 mezani. Naombeni msaada wenu vipi hili Jambo ni sahihi au siyo sahihi?