NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
Pole sana maisha ya Ndoa ni mtihani na usipojikaza utaharibu kila kitu,kua vizuri kitandani sio sababu ya kumzuwia mume asichepuke ila inasaidia,jee kwenye usafi wa nyumba na mwili uko vizuri? chakula unapika wewe au vyote anafanya dada? kauli yako kwake mapokezi yako kwake anaporudi kazini yapoje ? je unamjali na kumkubali kama yeye ndio Mume? jengine jaribu kukaa nae chini muda muafaka ongea nae mueleze how u fell na muuliza nini anahisi kimepungua mpaka ana kua hivyo? kumbuka wewe ndio mke wengine ni Michepuko mpaka amekubali kukuoa wewe ujue tayari umewapiku wote,sasa usiwape nafasi mchepuko akawa mke au akachukua nafasi yako kama dini yako hairuhusu mke wa pili,
baadhi ya sisi wanawake tukisha olewa nakuzaa basi tunajisahau kua mume bado anahitaji love and care sikwambii ni rahisi
lakini jitahidi kutenga muda wa watoto na muda wa baba yao,unajua zaidi nini mumewako anapenda kuliko hata Mchepuko ebu rudisha yale mapambano yalomchanganya mpaka akatangaza ndoa u can do it darling hujachelewa huyo ni mumeo
unajua wapi uguse unajua chakula gani anapenda,unajua upapase wapi kuliamsha Dude,mwanake hua hashindwi kwa urahisi amka shosti umrudishe mumeo ndani na muombe mungu sanaa kwenye hili wewe uko kwenye ndoa mwenyezi mungu atakusaidia..
baadhi ya sisi wanawake tukisha olewa nakuzaa basi tunajisahau kua mume bado anahitaji love and care sikwambii ni rahisi
lakini jitahidi kutenga muda wa watoto na muda wa baba yao,unajua zaidi nini mumewako anapenda kuliko hata Mchepuko ebu rudisha yale mapambano yalomchanganya mpaka akatangaza ndoa u can do it darling hujachelewa huyo ni mumeo
unajua wapi uguse unajua chakula gani anapenda,unajua upapase wapi kuliamsha Dude,mwanake hua hashindwi kwa urahisi amka shosti umrudishe mumeo ndani na muombe mungu sanaa kwenye hili wewe uko kwenye ndoa mwenyezi mungu atakusaidia..