Mume wangu hahudumii familia

Mume wangu hahudumii familia

Habari wapendwa
Mimi ni mwanamke nilieolewa miaka 17 iliyopita, na tumajaaliwa kupata watoto 3 mkubwa kwa sasa yupo kidato cha nne, lkn kwa muda wote huo nilioishi na mume wangu hakuwahi kuhudumia familia kwa chakula wala chchte ndni km bb pesa yake ni kusoma tu. Mm nilikua nafanya kz binfsi (stationery) kwa sasa nimefungua kijibiashara cha kukizi mahitaji ya familia, kibaya zaidi toka nimeanza kuishi nae ndg zake wanapishana kukaa na huduma zt ni mm mwnyw. Hata sasa kuna ndg zk ndni 4 wote ni tegemezi kwangu, nishaurini wapendwa niendelee ama nihame, maana habadiliki...

Tungekushauri vizuri ila uzi wako umejaaa uongo na unafiki mkubwa sana
Endelea hivyo hivyo.
 
Acha roho mbaya na umbea. Ongea na mumeo, mijanawake ya siku hizi Sijui haikufundwa??? Kitu Chochote brek ni mitandaoni... Huku kuna mshenga wako??? Kuna Wazazi wenu huku?? Kuna benki huku useme mumeo atakopeshwa mtaji?? Miaka 17, leo unauliza ufanyeje.... Kwanza inaelekea ushaondoka wewe upo kwenu. Mpumbavu wewe. Ndo maana mnapata magonjwa ya ajabu.
 
Anakwambia Hana hela coz anajua ww unasehem ya kupatia so by any Meanz chakula hakiwezi kosa home.... Be frank to him Kama hataki bas stay beside uendeshe maisha kivyako but akiwa ready kuhudumia take it over and proceed with family life as usual
 
Habari wapendwa
Mimi ni mwanamke nilieolewa miaka 17 iliyopita, na tumajaaliwa kupata watoto 3 mkubwa kwa sasa yupo kidato cha nne, lkn kwa muda wote huo nilioishi na mume wangu hakuwahi kuhudumia familia kwa chakula wala chchte ndni km bb pesa yake ni kusoma tu. Mm nilikua nafanya kz binfsi (stationery) kwa sasa nimefungua kijibiashara cha kukizi mahitaji ya familia, kibaya zaidi toka nimeanza kuishi nae ndg zake wanapishana kukaa na huduma zt ni mm mwnyw. Hata sasa kuna ndg zk ndni 4 wote ni tegemezi kwangu, nishaurini wapendwa niendelee ama nihame, maana habadiliki...
We hudumia tu mama. Wanawake mnaweza bhana.

Ndo maana huwa hatusikii malalamiko ya wanawake kutohudumia familia kutoka kwa wanaume.

Nyie wanawake sijui mwapenda sana kulalamika
 
Acha roho mbaya na umbea. Ongea na mumeo, mijanawake ya siku hizi Sijui haikufundwa??? Kitu Chochote brek ni mitandaoni... Huku kuna mshenga wako??? Kuna Wazazi wenu huku?? Kuna benki huku useme mumeo atakopeshwa mtaji?? Miaka 17, leo unauliza ufanyeje.... Kwanza inaelekea ushaondoka wewe upo kwenu. Mpumbavu wewe. Ndo maana mnapata magonjwa ya ajabu.
Asante ila kwa kua halijakukuta
 
Mpaka 2004 aliniambia anasoma five and six 2010 akasema anachukua diploma ya uhasibu 2016 mpaka sasa akasema anachukua CPA ya uhasibu
2001-2004 five na six
2005-2010 diploma ? diploma gani miaka sita au kawa bashite?
2011-infinite cpa?
unadanganywa mwenzangu
 
Acha roho mbaya na umbea. Ongea na mumeo, mijanawake ya siku hizi Sijui haikufundwa??? Kitu Chochote brek ni mitandaoni... Huku kuna mshenga wako??? Kuna Wazazi wenu huku?? Kuna benki huku useme mumeo atakopeshwa mtaji?? Miaka 17, leo unauliza ufanyeje.... Kwanza inaelekea ushaondoka wewe upo kwenu. Mpumbavu wewe. Ndo maana mnapata magonjwa ya ajabu.
We Baba nanii mbona unakuwa mkali kwako mywife waking?
Miaka 17 unasomea uchawi au nini?
 
Asante ila kwa kua halijakukuta
Peleka upuuzi wako Huko..... Mimi ni mwanaume wa kimangi, unataka yanikute yapi??? Ninajua kuwa sio wote wenye uwezo wa kubeba majukumu ya kifamilia ila ni vyema kuongea na mwenzio katika lugha ya kujenga. Tumeona Wengi waliokuwa na Hali Kama ya mumeo na walipoongea na wenzao kwa hekima Hali ilibadilika. Wewe mjinga inaelekea unaongea na mumeo kwa lugha za ultimatums..... Eti: "au niondoke" sasa hiyo ni lugha ya anayetaka ushauri. Bwege wewe???
 
Tangu mmeanza uchumba alikuwa na kazi???

Kipindi anakuoa mwanzon before hajapata watoto alikuwa hana kazi??

Tofauti ya umri kati yako na yake ni upi, nani mkubwa??

Kulikiwa na Makubaliano yeyote kuhusu huduma hizo kabla ya ndoa??

Nani alikuwa anagharamia mitoko n.k kipindi mpo uchumba??

Tuanze hapo kidogo.
 
Toa maelezo ya kutosha acha uongo, miaka 17 anasoma nini? Mara hasaidii chochote, unajua maana ya chochote au mumeo ni gogo? Nakushauri mwambie kuwa aliyekua anakusaidia kwa miaka 17 kulea familia pamoja na yeye mwenyewe amekupiga kibuti hivyo akusaidie wakati unatafuta mwingine ambaye hatakuacha kwa miaka 50. Jifunze kufuata ushauri, sawa? Mrejesho please.
 
Back
Top Bottom