Mume wangu ananitesa

Mume wangu ananitesa

mumeo ni yupi?? yule aliye kuwa anakupenda tangu utotoni au
yule mume wa mtu alite kuita malaya kwenye simu mbele ya mkewe?
dada kwa kuanzisha thread za uzushi tu umefuzu!!!
 
sirikisha wasmamizi wako pia mchungaji au shekh me naamini watakusaidia tabia ya kipigo ikiendelea baada ya kukalishwa chini mtafute kamanda kova atajua namna ya kukusaidia
 
shirikisha wasmamizi wako pia mchungaji au shekh me naamini watakusaidia tabia ya kipigo ikiendelea baada ya kukalishwa chini mtafute kamanda kova atajua namna ya kukusaidia
 
kitali

Hiyo ndo ndoa ila usibweteke chukua hatua......amka kiakili....mfanye aijue thamani yako..!!!
 
Last edited by a moderator:
ndoa yangu ina miez tisa na alikuwa anakunywa pombe ila alinificha ficha sasa anakunya mbele yang.istoshe mie ni mjamzito nina mimba ya miez sita.


Hiyo kasheshe, hayo ya kunyeana tena ni wazimu huo! Si utoke akianza kunya!?
 
UACHE U*S*E*NGE kutuchanganyia habari humu.. Usifikiri kia mtu kichwa funza kama wewe....JANA ULIANDIKA HIVI
""Kitali 21:35 Yesterday mimi ni msichana ninampenzi
nampenda ila anitumie msg ,hanipigia
anaweza kukaa hata wk hanitafuthi
mpaka mimi nimtafute .unawezakuta
namtumia msg hajibu nikumuliza
mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili
anadi nisijali yupo pammoja na mimi
ananipenda na mim ndiye mke
wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute
SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI
AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli
au ananidanganya''
Anaweza kuwa aliandika kwa kumsaidia mtu labda anaitaji ushauri, hata mm nilitoa story ya mdogo wangu watu humu hawakunielewa, tuwe tunashauri kutokana na mada si kuangalia juzi alipost nini. Watu wanashida wanaitaji ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi bila ya huyu mume huna maisha? Kwenu umefukuzwa? Au ulizuiwa kuolewa ukalazimisha? Hivi unajua ni nini kinafuata baada ya hapo? Siku hizi hakuna aibu ya mtoto wa fulani kaachika, wenzako wanaolewa mwezi mmoja tu yakimshinda anarudi kwao, wewe subiri kipo unachokitaka, langu ni hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila hii kuchanganya IDs za watu Moderator hamfanyi vizuri inabidi muongeze umakini ....mtu kama umeamua kutumia fake ID ili ujiachie JF alafu baadae inaunganishwa na your verified ID sio poa kabisa ....
 
Pole sana jamani, umejaribu kuwashirikisha ndugu au wazazi wa pande zote mbili?
Wakwe!kunawakwe wengine ni majanga bora ajitahidi kumtafuta msimamizi wake wa Harusi,
 
Mimi nimeolewa na nimefunga harusi na mume wangu, ila toka anioe mume wangu sijafurahia ndoa yangu ispokuwa siku ya honeymoon. Siku hizi mume wangu akija nyumbani anaanza kunigombeza bila sababu, ananipiga bila kosa, hataki kuniona, anarudi usiku sana nyumbani amelewa nikimuuliza anaipa kipigo cha mbwa, ananitukana matusi, yaani hapa nilipo sina amani na ndoa yangu.

Nishaurini jamani nifanyeje?
Jiongezee dawa ya moto ni moto..yaani unapigwa na mlevi?
 
Back
Top Bottom