BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
kama anakupiga, umechukua hatua gani kudhibiti vipigo? Au unamwangalia tu ulivyogeuzwa punching bag? Kwenu umeua? Rudi kwenu akikufata ita kikao cha wazee mzunhumze
Mai waifu alipokua mjamzito hua inatokea kipindi hutaki hata kumuona ..kumpiga itakua ni matokeo ya ujauzito tu..vinatokea sana ..mbona kawaida tu?!
mim ni meolewa na nimefunga harusi na mume wangu, ila toka anioe mume wangu sijafurahia ndoa yangu ispokuwa siku ya honeymoon. siku hz mume wangu akija nyumban anaanza kunigombeza bila sababu,ananipiga bila kosa,hataki kuniona, anarud usiku sana nyumban amelewa nikimuuliza anaipa kipigo cha mbwa,anani2kana matusi, yaani hapa nilipo sina aman na ndoa yangu, nishaurin jaman nifanyeje?
Sasa kama juzi ulikuja na hilo hapo juu RED, na leo unakuja na hili la kupigwa BLUE sasa tukuweke wapi mbona unatuchanganya? uwanja huu ni darasa huru ila lililo na malengo ya kusonga mbele, wewe upo wapi kati ya haya mawili? Funguka vizuri mwana kwenda.
mim ni meolewa na nimefunga harusi na mume wangu, ila toka anioe mume wangu sijafurahia ndoa yangu ispokuwa siku ya honeymoon. siku hz mume wangu akija nyumban anaanza kunigombeza bila sababu,ananipiga bila kosa,hataki kuniona, anarud usiku sana nyumban amelewa nikimuuliza anaipa kipigo cha mbwa,anani2kana matusi, yaani hapa nilipo sina aman na ndoa yangu, nishaurin jaman nifanyeje?
Kwa nini anampiga mama mjamzito ..natamani nijue yuko wapi nimuweke ndani ...:A S angry:
kama anakupiga, umechukua hatua gani kudhibiti vipigo? Au unamwangalia tu ulivyogeuzwa punching bag? Kwenu umeua? Rudi kwenu akikufata ita kikao cha wazee mzunhumze
UACHE U*S*E*NGE kutuchanganyia habari humu.. Usifikiri kia mtu kichwa funza kama wewe....JANA ULIANDIKA HIVI
""Kitali 21:35 Yesterday mimi ni msichana ninampenzi
nampenda ila anitumie msg ,hanipigia
anaweza kukaa hata wk hanitafuthi
mpaka mimi nimtafute .unawezakuta
namtumia msg hajibu nikumuliza
mbona kimya anadai mambo mengi.akijajibu msg bada ya sik mbili
anadi nisijali yupo pammoja na mimi
ananipenda na mim ndiye mke
wak.juzi nilimpigia alinimbia nitafute
SIKU TUKAE TUONGEE ILI MWAKANI
AKANITAMBULIshe.naombeni ushaur wana jf wenzang.je ananipenda kweli
au ananidanganya''
Unaona mshenzi mwingine
anavyomtesa binti mjamzito wa watu? Sasa hali hii ndo pia inampata my
first love. Achana na huyo mlevi...
Mabati yanaficha vitu vingi, its so painful story,dada yangu hata sijui nikushauri nini
Anyways muombe Mungu ataibariki ndoa yako na itakuwa ya furaha na amani, hamna kitu kizuri kama
kuolewa au kuoa mtu ambae ukiondoa neno ndoa she/he is always u're bestfriend!!
Tusikurupuke kuoa au kuolewa pasipo kumjua mhusika kwa ukaribu na kwa undani!!
Mia