Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

Bana weh..nitaplay sehemu zote
 
KWENYE NDOA MIAKA 18, CHUKULIA WALIOANA NA MIAKA 18, KWAHYO 18+18=36, KIUFUPI MIAKA KAMA 40 HIVI HUYO MAMA, WALA SIENDELEI.
 
Kuna jamaa alishafanyiwa hivyo,akagundua akapelekwa kwa mtaalamu akamtibu alipoenda nyumbani ili kumuonyesha utaalamu wa nzi , wa ukijua ya mbele sisi tunajua ya nyuma akamgonga mdogo mtu kama kutuma salamu vile
Ahahahaha safi sana
 
Hii una maanisha kweli!! sasa akikaa miezi harafu akirudi si ndiyo kukuletea magonjwa. Halafu pesa peke yake hazitoshi, family inabidi iwe ya baba na mama, baba kama yupo hai harafu watoto hawamuoni nyumbani ina madhara kwa ukuaji wao
Mwambie huyo
Hajajua kwanini Darasa kaimba hasara roho pesa makaratasi
Asingeolewa basi
 
Ndio hawa singo maza wanajifanya wana midomo
Wakija kukuza wanaishia kuwa madanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…