Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

wanawake wanapenda mkuyenge wa haja ndo maana nilikuwa nawatusua tu maana wanahadithiana halafu unashangaa rafiki mtu naye anaanza kukuchekea...
 
Unamwendea kwa mganga au we mwenyewe mtaalamu wa ulozi?
ahahahahaha uuuwi

Naiba shahawaaa zake nazifunga kwenye kitambaa cheupe naficha akienda popote mkuyenge hausimami
wenzio wamejaribu wameshindwaa!

[emoji23][emoji23][emoji23]walaaaaa
Maugomvi na wanawake zake ndo ctaki mm...

Nnarafiki yangu anagombana sana na mademu wa bwana ake mpk wanakuja kuwa marafiki Baadae, hz mambo mm cwezi
maisha ni kupambana mdogowangu ukiogopa wanawake wenzio utaishi vbaya
usimwogope mtu dai chako ni haki yako
 
wanawake wanapenda mkuyenge wa haja ndo maana nilikuwa nawatusua tu maana wanahadithiana halafu unashangaa rafiki mtu naye anaanza kukuchekea...
MMH UNA MAANA GAN
 
Nitaufanyia kazi nikiingia kwenye ndoa

No kuchepuka
kumbe haujaolewa?
sasa mbona unasema umeolewa?

me nna GOGO!!
aisee hongera

Miaka 18 ya ndoa?

Almost wewe uko above 39 years
am 43 yrs old!

Huo ni uchoyo sasa
kizuri kula na mwenzio

Hahahaaa, you are a complete woman
hahahaha

Sipend kushare
acha uchoyo mwache akale nje akuthamini zaidi

Wanawake wa dar bhaaanaa
hahaha wamefanyaje?
 
Sasa unataka uwe peke yako Kama TANESCO, uwe unajinyanyasia tu, mara unagoma kutoa game bila sababu ya Msingi. Dawa kufanyiwa Kama TTCL, unaweka sokoni kampuni zingine, unaona wamejiongeza.
ahahahahah TANESCO
nimechekaje
wewe buana ahahahahahha
 
Back
Top Bottom