Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,628
- 15,742
watu wa ccm pamoja na sukuma ganga mnaanzisha thread za kipumbavu pumbavu ili kutunyamazisha tuache kuongea....siku zote hakuna marefu yasiyokuwa, LABDA TU NATAKA NIWAAMBIE MIMI NI KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 30+ NINAISHI KWANGU YAANI NIMEJENGA HUKU KANDA YA ZIWA NA MOJA YA BIASHARA NINAZOHUSISHA NI UUZAJI WA DAWA ZA BINADAMU.....KWA HIYO MIMI SIISHI KWA SHEMEJI AU KWA NDUGU KAMA AMBAVYO MA -CCM WENGI MNAVYOFIKIRIA KWAMBA KILA ANAEKUJA KUANZISHA THREAD YA KUMPONDA MWENDAZAKE HANA MAISHAMimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.
Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.
Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.
Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Umeliwa π€£π€£π€£π€£Mimi mwenyewe nina 37,na bado ni kijana mdogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni bora umtag aone hii thread mkuuPacha wake mpwayungu huyu hapa.
maka 29 unajiita kijana mdogo?subili ukueMimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.
Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.
Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.
Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Kabla sijakushauri ngoja nicheke kwanza Kwikwikwiiiiπππ.Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.
Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.
Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.
Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Hii sio mara ya kwanza ni id ingine ya mpwayungu village ashakuja na mambo haya zamaniNaimani hii issue sio serious,ni umeileta ili tucheke tuu.
ππ Kweli hii niββπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Wewe wa kutiwa bakora kabisa. Shemeji yako siyo baba yako wala mama yako, sio wajibu wake kukulea na kukupa mtaji, hata hapo unavyoishi ni hisani tu.
BTW najua hii ni chai, miaka 29 hauwezi kuwa na akili za kitoto kiasi hicho π.
πππAchana na kilimo, kwann Ulime wakati shemeji yupo. Usikubali kuondoka hapo, wanaroho mbaya hao
Unachoongea ni kweli mkuu,..ningekuwa mimi nisingevumilia eti.Kusema ukweli wanachokufanyia siyo haki. Nakushauri ungeshtaki kwa wazazi kijijini. Umejitahidi umesoma na kuhitimu halafu mtu anakuja kukukwamisha korahisi tu.
π ikiwezekana maana huyo kijana mdogo anazinguaHata kunya napo tulipie jamani?
Ushauri wewe komaa hapo hapo kwa Dada na Shemeji yako, waambie Kijijini hurudi kama kulima rahisi wakalime wao wakuachie nyumba,Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.
Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.
Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.
Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Askari wa zenji mko wengiMimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.
Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.
Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.
Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Inashangaza sana hifadhi apewe alafu kazi halitaki kufanya na linaona ni haki yake.Eti hataki kufanya kazi za ndani, jinga sana huyu kubwa jinga kwani ukifanya kazi za ndani unapungukiwa nini?