Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
ukiwa makini utalinda ndoa ya rafiki yako
ukilegeza kamba utaibomoa ndoa ya rafikiyo,
hata hivyo onesha kwamba hupendi toka moyoni ushenzi wake,
usidanganyike na sifa akupazo, wewe si mzuri kuliko mkewe amini hivyo,
ukilegeza kamba utaibomoa ndoa ya rafikiyo,
hata hivyo onesha kwamba hupendi toka moyoni ushenzi wake,
usidanganyike na sifa akupazo, wewe si mzuri kuliko mkewe amini hivyo,