Annina
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 437
- 57
- Thread starter
- #81
Hivi ni nini maana ya udhalilishaji? Yaani mwanaume akikusifia kwamba una umbo la kampeni (hii nimeipenda, nitaitumia kutongozea Uswahili kwetu), macho mazuri, lips za kufa mfu na ngozi nyororo anakuwa amekudhalilisha ?
Mmh...na wewe umekaa kichokozi chokozi. Hapo kwenye bold kuna suala la COSOTA shauri yako
Annina