Mume wa mtu ananitesa

Mume wa mtu ananitesa

Wanawake wote wangekuwa kama wewe, Maisha yangekuwa salama sana. Kama umeolewa mwenyezi mungu amlinde mumeo na fitna. Kama hujaolewa mwenyemungu akuongoze na akujaalie kupata mume bora.
Kama una watoto busara zako uwarithishe wanao. Kama hujazaa Upate watoto wachamungu kupitia njia sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amen amen,nimepokea kwa jina la yesu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo PC sio kwamba ni full pc, ni nusu na wala hazioneshi sura,
Inamaana mm ni mjinga kiasi gani nijiachie hivyo,

Jaman nitukaneni mnushutumu, lakin mapenzi yanatesa na nampenda SNA yule jamaa wa Muheza nahisi anaweza nikuna vzr na dudu lake kubwa, Mr HANITOSHEREZI over

Mnitukane lakin vaen kiatu changu

Sent using Jamii Forums mobile app
We nae sio wa kushaurika. Moyoni mwako umedhamiria..hakukuwa na haja ya hili bandiko lako hapa nenda ukatombwe shoga kwa raha zako ila utajuta ukienda huko unakuta jamaa hawezi kukuridhisha. Miaka 7 mnanyegeshana vitendo zero hampo serious kabisa.
By the way Kama mume wako anakupenda hana tatizo lolote unachoenda kufanya kitakucost.
 
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.

Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.

Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.

Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.

Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri



Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mke wa mtu unapiga picha mpapa wako na kumtumia mwanaume mwingine!!! Malaya mkubwa wewe pumbaaav kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Unajua au umewaipata hisia pale ambapo unakuwa na mume au mke na tayari mnawatoto alafu mmeishi miaka kadhaa , lakini kanakuja kale ka feelings kanakwambia embe mjaribu na huyu demu au huyu mwanaume kanakwamba kuna kitu kipya utavumbua , well hako ka feelings kanaitwa umalaya , ndio huyu dada anacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
True,naunga mkono hoja,haya ndo madhara ya umalaya ujanani,kwenye ndoa inaleta ugumu kuji control

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hofu ya Mungu huku mnatumiana picha za uchi. Ww chepuka tu hakuna atakayekuona na isitoshe hapa unatumia ID fake.
 
Unamuogopa mungu wakati una akili za kishetani?umeshapata mume,unaumizwaje na mume wa mwingine,unamtumia mapicha ya mishavu yako iliyotepeta huko chini halafu eti una hofu.
Shetani hajawahi kuwa na hofu,wewe ni shetani wa wapi!.
 
Hizo PC sio kwamba ni full pc, ni nusu na wala hazioneshi sura,
Inamaana mm ni mjinga kiasi gani nijiachie hivyo,

Jaman nitukaneni mnushutumu, lakin mapenzi yanatesa na nampenda SNA yule jamaa wa Muheza nahisi anaweza nikuna vzr na dudu lake kubwa, Mr HANITOSHEREZI over

Mnitukane lakin vaen kiatu changu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unafikiri una akili timamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Pep
We nae sio wa kushaurika. Moyoni mwako umedhamiria..hakukuwa na haja ya hili bandiko lako hapa nenda ukatombwe shoga kwa raha zako ila utajuta ukienda huko unakuta jamaa hawezi kukuridhisha. Miaka 7 mnanyegeshana vitendo zero hampo serious kabisa.
By the way Kama mume wako anakupenda hana tatizo lolote unachoenda kufanya kitakucost.
Kumridhisha mwanamke ndiyo kukoje? MM huwa nachomeka nikashamwaga na chomoa naenda kuoga, nikirudi nalala. Siku inapita
Nataka unifundishe mrembo kumridhisha mwanamke kwa vitendo
 
Kumridhisha mwanamke ndiyo kukoje? MM huwa nachomeka nikashamwaga na chomoa naenda kuoga, nikirudi nalala. Siku inapita
Nataka unifundishe mrembo kumridhisha mwanamke kwa vitendo
Mi mwenyewe mgeni mambo hayo
 
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.

Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.

Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.

Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.

Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri



Sent using Jamii Forums mobile app

Mjinga kabisa, umeshashauriwa na huyo mwanaume halafu unataka Na sie tukushauri nini? Endelea nae basi
 
Malay.a at work.
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.

Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.

Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.

Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.

Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mwenyewe mgeni mambo hayo
Mm mwenyewe mgeni pia ila uliniandika kumridhisha mwanamke ndicho nataka nijue. Ila kwa vile wote ni wageni ni vizuri tukafundishana mengi. Nitakutafuta PM tusije tukamwaga mchele kwenye kuku wengi. Bibie utanikuta pm
 
Mm mwenyewe mgeni pia ila uliniandika kumridhisha mwanamke ndicho nataka nijue. Ila kwa vile wote ni wageni ni vizuri tukafundishana mengi. Nitakutafuta PM tusije tukamwaga mchele kwenye kuku wengi. Bibie utanikuta pm
Anayejua kumridhisha mwanamke ni mwanaume sio mwanamke
 
Back
Top Bottom