Mume wa Mtu ananitaka

jamani mbona mmembana sana JS!

tatizo la wanake wengi ni kuwa hawapendi kuonekana "mafedhuli, wakorofi, majeuri" hata kwa watu wasio wajua sawasawa ndio maana anajikuta hawezi kumpa ile balck and white kuwa NO.

JS shoga, si dunia ya kumuonea mtu muhali hii ....ohoooo.........liwalo na liwe mpe ukweli na ukiona huwezi usipokee simu wala msg ever
 

Yaani mwanajamiione umenikumbusha tukio kama hilo limewahi nitokea mimi pia ikiwa ndo kwanza niko kwenye mwanzo wa ndoa... kuna mtu alinipigia simu akiwa kabisa anajua na jina, cha kushtua zaidi alikuwa ni wa jinsia moja na mimi, na akawa anaandika message za mapenzi, yaani kama wewe, mwenzangu kwa nza hakuamini simjui, nikimpigia hapokei, na sikuweza mtambua, nilidhani ni rafiki zangu wananitania, lakini wapi, jamaa aliendelea nikawa na hasira, mpaka siku nikamwambia nina washikaji zangu tigo watanipa detail zake na nitampeleka polisi, ghafla akaacha.Mwenzangu alisave hiyo namba mpaka leo, lakini haipatikani... ni hatari hizi simu....
 

pole sana....lakini umejifuza,ukitoa namba yako kwa stranger utegemee any strange stuff.....mkaribishe kwako na mr akiwepo....halafu mwambie aseme shida yake mbele ya mr.
rule yangu namba moja sipokei namba ya simu nisiyoijua,ndg,marafiki,jamaa wanajua hii rule[kama wana namba mpya wanatxt kuniambia]
 
Kiraka, asprin, kimey,.........kicheruko kacharuka hata anachokisema hakieleweki! Anataka atambulishwe kwa fullstop na comma
 
unatuletea ushambenga hapa jamvini, hao wote uliokwisha wapa uroda ulikuja kutuuliza hapa jamvini ? wewe mpe tu ukiamua, wewe una ala yako na yeye ana kisu chake, mpe mwanakwetuu mpe.
 

DUh...hii ni kweli MJ1, au ndio sound crafting??

Haya bana
 


...m -delete tu kwenye maisha yako, unless unajiona eti wewe ndio mtatuzi wa hizo tamaa zake.
Yanini kujitafutia 'mpangaji asiyelipa kodi' kwenye mawazo na akili yako?
 

Mpatie mchezo tu, halafu baada ya hapo umwambie ukweli. Yaani kubali appointment, mpe anachotaka mkimaliza mchezo, mwonyeshe picha ya mpenzi wako. wakati wa mchezo wewe tulia tu kama mwanamke wa Kimachame, bila kujishughulisha, kuonyesha ulikuwa una mvuto naye. Atajisikia vibaya sana na harudii tena ukware. Utakuwa umeasaidia wanawake wenzako wengi na wanaume wenzetu kama hawa wenye kutaka kufunuafunua kila king'aacho mbele yao
 

mi mzima best unantia tashtiti ivo!
 
Sasa tukueleweje wewe umeshasema humtaki alafu unauliza ushari? Uko tayari kufuta ushauri wa kimapenzi ambao sio chaguo lako? Je wewe una miaka mingapi?

Kwanza jiulize hisia zako zinamkataa sababu ni mume wa mtu au sababu hujavutiwa naye kwa lolote lile?

  • Kama humtaki na anakusumbua na umekeraka kachukue mchukulie RB ya polisi . otherwise mripoti ustawi wa jamii. wamsaidie.


  • Namna gani vipi kama una "mshikaji wa karibu" wa kukusaidia mpe number ya huyo jamaa. mpe na latest script ya sms alizokutumia. Then jamaa aanze kwa kumbwatukia. Ukiona inafaaa nipe hiyo kazi mimi kama huna mshikaji wa karibu.
 

Kwa wanaume JS ni kawaida kukutana na mtu na kuacha namba zako. Lakini kama mwanamke akikupa zake inakuwa ni kiashirio cha mahusiano iwe kijamii, kiuchumi, kiutamaduni au kisiasa. Pengine kwa wale waliosomea kazi za inteligensia, haishauriwi sana kuachia kontakiti zako hewani kwa mtu unaekuatana nae kwa mara ya kwanza hasa maeneo yasiyo rasmi kama klub.

Kama huwezi kublock namba yake, chomoa chip hiyo weka nyingine. vinginevyo, kama una mupenzio na unamheshimu, ukiendelea ku entertain hiyo hali itakula kwako mupenzi!.

Is better kama haupo tayari kuweka bayana tishio lako la kulipua "pentagon" yake kabla hajalipua ya kwako.

Bye.
 

duh! maushauri mengine yanakuja kwa kishindo!:violin::A S-coffee:
 
muweke kwenye black listed(rejected number) kwenye simu yako hapo hutapokea ujumbe wake au simu yake tabu ya nini na kwanini unajibu msg zake au nataka sitaki nini hahahahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…