Ngojeni niwaambie, kuna watu huku wamenitukana called me stupid some said kama si ufuska i shouldnt have given out my number and shit of that kind. na kwamba kisa nilikutana naye sehemu za starehe basi it potrayed tabia yangu.
You cant judge mtu kwa sababu alienda kupata starehe iwe bar/pub/disco au popote tu pale. that really sounds absurd......
Pia, you cant judge mtu kwa sababu of how easily she/he gave the phone number. kwa sababu unakuta mtu umempa namba yako ya simu kwa good intentions wewe huna hili wala lile lakini yeye baadae huko sijui ni shetani anakuwa kamuingilia kwenye kichwa anaanza kukuvua nguo in his/her head. You see and this is a big problem (allow me to generalize) us women face everyday.
Kuna wengine wamesema i should just give it in nimpe what the mume wa mtu wants. ndo hapo infedility comes into the picture ndo maana wengine wansema infidelity is here to stay there is no doubt about that. surely kwa mambo kama haya its here to stay.
NN my dear good friend, i didnt take you serious kule pages za nyuma si unaelewa tena mimi na wewe damu damu au sio. no hard feelings whatsoever. so is to everyone around here.
Mume wa mtu sumu tena sumu mbaya sana naeza poteza pua kama nani kasema sijui kule jina limenitoka.