Mume na mke...

Mume na mke...

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Mume: Mimi ninakushangaa sana mke
wangu; kila mara unasema ooooh gari yangu,
mara watoto wangu, mara chumbani kwangu
n.k. "Nimeshakwambia wewe na mimi ni mke
na mume; kwa hiyo unatakiwa kusema,
nyumba yetu, gari letu, watoto wetu,
chumbani kwetu n.k." "Hivi unanisikia? maana
muda wote huu navyoongea wewe uko bize
kwenye kabati la nguo, unatafuta nini humo?"
Mke: "Ninatafuta sidiria yetu mume wangu."
 
kweli, wapo wanaovaa sidiria kama hawa lazima muazimane sidiria
images


images
 
Mume: Mimi ninakushangaa sana mke
wangu; kila mara unasema ooooh gari yangu,
mara watoto wangu, mara chumbani kwangu
n.k. "Nimeshakwambia wewe na mimi ni mke
na mume; kwa hiyo unatakiwa kusema,
nyumba yetu, gari letu, watoto wetu,
chumbani kwetu n.k." "Hivi unanisikia? maana
muda wote huu navyoongea wewe uko bize
kwenye kabati la nguo, unatafuta nini humo?"
Mke: "Ninatafuta sidiria yetu mume wangu."

Boflo another tickle from Boflooooooooooooooooo
 
hahahhahahhahahahahahahaahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Boflo bana.............................halafu umenisusa kabisa.
 
Last edited by a moderator:
iyo kali na ikifika kwenye ile shughuli ya kwenda angani/mwenzini na kile kifaa nitakiita chetu?
 
Mume: Mimi ninakushangaa sana mke
wangu; kila mara unasema ooooh gari yangu,
mara watoto wangu, mara chumbani kwangu
n.k. "Nimeshakwambia wewe na mimi ni mke
na mume; kwa hiyo unatakiwa kusema,
nyumba yetu, gari letu, watoto wetu,
chumbani kwetu n.k." "Hivi unanisikia? maana
muda wote huu navyoongea wewe uko bize
kwenye kabati la nguo, unatafuta nini humo?"
Mke: "Ninatafuta sidiria yetu mume wangu."
Boflo naomba siku moja nikuone USO KWA USO
 
Last edited by a moderator:
Mume: Mimi ninakushangaa sana mke
wangu; kila mara unasema ooooh gari yangu,
mara watoto wangu, mara chumbani kwangu
n.k. "Nimeshakwambia wewe na mimi ni mke
na mume; kwa hiyo unatakiwa kusema,
nyumba yetu, gari letu, watoto wetu,
chumbani kwetu n.k." "Hivi unanisikia? maana
muda wote huu navyoongea wewe uko bize
kwenye kabati la nguo, unatafuta nini humo?"
Mke: "Ninatafuta sidiria yetu mume wangu."

Raha kweli kweli! Ndo kiswahili hiko
 
Back
Top Bottom