ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
ok ila kwa wale ambao hatukubahatika kuiona its a tym 2 c it!!
mara y kumi hii hujaiona!! bored
ok ila kwa wale ambao hatukubahatika kuiona its a tym 2 c it!!
mara y kumi hii hujaiona!! bored
mara y kumi hii hujaiona!! bored
usifikiri kile ukionacho ww kila m2 akiona lol
Mie nilipunguza idadi wewe ndo umeua mazima
Ha ha ha ha ha wewe?Mi mwenyewe hapo nimezipunguza!!
Duh ndo leo nimeiona, ila sishangai kelvin wengi ndo wako hivyo hivyo bila tofauti hata moja kilichokosekana kwa Kelvin huyo ni masifa tu ndo sijaona manaake wanamasifa funika.
Mi mwenyewe hapo nimezipunguza!!
ni kweli ila marudio nayo yanaboa.
Ha ha ha ha ha wewe?
ongeza kidogo ChweChwe coz DA alihic kaweka idadi kubwa..........
yanaboa kidogo?!! tatizo la kuchekia jf kwnye internet cafe.mpk atoke home kufika internet cafe thread km 10 hv zishampita akifika anawekewa 1/2 saa.cafe z kibongo kusaf page moja inafunguka baada y dk10 sana sana ataangalia thread mbili .....kichofuata nini? eeeh kurudia thread.
aaaaaaaaaaaaaaaaaggggggggggggggggggggghhh inaboa kweeeli inaboa,hiii sredi hadi keero sasa jamani hivi we ulieleta hii sredi ulikua wapy?
naelekea lolyondo kw babu nikanywe dawa mana hesabu inanipiga chenga pengine ntapona nikirudi nitaongeza.[/QUTE]
Ha ha ha ha ha ha nimecheka mpaka mwanangu kaamka
heh kumbe majibu ulikuwa nayo ss kilichokustaajabisha nn!!!!!!!!
<font size="3">aaaaaaaaaaaaaaaaaggggggggggggggggggggghhh inaboa kweeeli inaboa,hiii sredi hadi keero sasa jamani hivi we ulieleta hii sredi ulikua wapy?</font>
Sasa na ww vimodem kibao c ununue ili uwe unaingia jf bila bugza.