Mume kuitwa baba na mke wake

Mume kuitwa baba na mke wake

Ni ukoloni flan hv.
Ndo sabb sku hz wababa wanawala mabinti zao wenyew.
Kama mama yao anakuita baba unaitika na badae unamsalome..
Unantekenyaga ukinyonga.....
Na binti yako itakuaje ngum sasa..
And that is why you are not a JF Expert member,
 
Acha uongo wako mkuu. Unaishi mjini au kijijini? Kama ni mjini niambie ni wapi.

Kimsingi mimi naona faraja kuitwa baba na mke wangu kama ilivyo raha mimi kumuita mama. Unajua mapenzi hunogeshwa na heshima ilimradi isiwe fake
unaona raaaha kuitwa baba wakati mke wako nimeshamgegeda.
 
Kuitwa baba na mpenzio au mkeo ni heshima kubwa anakupa . Kwake yeye wewe ndo sawa na baba yake ambaye wewe ndo kimbilio lake la mwisho. Ni sawa na mtoto kwa baba ake kuwa wewe ni kimbilio lake la mwisho katika maisha yake na anakupenda sana.
 
Sikumbuki ni lini nilimuita mume wangu, baba au baba fulani, nushazoea jina lake na yeye kazoea jina langu. Na tuna watoto wakubwa tu
 
Mimi bado ajasongezwa home maana lazima aka present paper yake ya mwisho kabla ya kupewa SHAHADA YAKE YA UDHAMIRI YA NDOA, ingawa tangu ingawa akiwa anafanya bachelor yake ya U'GIRL FRIEND ananiita baba T. na hatuna mtoto, ingawa my name inaanza na T.
 
Sikumbuki ni lini nilimuita mume wangu, baba au baba fulani, nushazoea jina lake na yeye kazoea jina langu. Na tuna watoto wakubwa tu
Nyie wa zamani banaaaa skuiz vijana wanamengi
 
Mimi bado ajasongezwa home maana lazima aka present paper yake ya mwisho kabla ya kupewa SHAHADA YAKE YA UDHAMIRI YA NDOA, ingawa tangu ingawa akiwa anafanya bachelor yake ya U'GIRL FRIEND ananiita baba T. na hatuna mtoto, ingawa my name inaanza na T.
T means Tiffa
 
Ni matusi, kumfananisha mumeo na baba yako: kwani baba yako anaweza kukugegeda??!! bora kumuita majina mengine lakini sio baba hata yeye hapaswi kumuita mkewe wife: ukitaka kuwa sasa muite BABA WATOTO au MAMA WATOTO full stop😕
 
kwa dini yangu yaani nikikuita mama tu tayari nimepigwa bao la kisigino
 
Back
Top Bottom