Mume kuitwa baba na mke wake

Mume kuitwa baba na mke wake

Binafsi mm napenda kumwita mke wangu kwa jina lake, ila wife anapenda kuniita baba au Baba (Jina la mtoto tena wa kike na si wakiume)! Hata mama mkwe wangu huniita baba sijui kwanini!
 
Hata mimi ninamuita mama kwa kuwa pia mama yetu alituasa wote tumuite mama. Na yeye ananiita baba fulani, wakati mwingine my first name na hii anaita pale ambapo kuna serious issue sana hasa ambalo si la furaha sana. Wakati wote mwingine ni baba, mpenzi, mchumba, my first name, majina yetu ya utani, n.k. cha msingi use as many sensational names as you can to enrich your partnership. Na uweli hata mimi nikimuita kwa her first name ujue kuna jambo ambalo si zuri sana. Ndiyo tulivyojijenga for over 30 years and we are friends missing each other badly.
 
Unamuita mume wako baba halafu usiku unalala naye bila nguo?

Kimaana, Baba ni yule aliyekuzaa, au kukulea, au mwenye nasaba ya ubaba, kama vile ndugu wa kiume wa baba yako ambao kwa utaratibu wa kawaida hawawezi kukuoa au kuhusiana nao kindoa.
Sasa kumuita mume wako 'baba' eti ni heshima iliyotukuka haileti maana..

Umekosa majina yoote mazuri ya kumuita mumeo hadi umuite baba? Sasa kwenye ile ibada iliyotukuka utabinukaje na mtu unayemuita 'baba' yako? Au ndo ile heshima inazidi mpaka unaogopa kuonesha manjonjo unabaki na missionary style?...

Nimewaza tu.
 
Inaleta heshima fulani hivi, tena mwanaume akiwa baba baba kweli, sio baba suruali!!!
 
Unamuita mume wako baba halafu usiku unalala naye bila nguo?

Kimaana, Baba ni yule aliyekuzaa, au kukulea, au mwenye nasaba ya ubaba, kama vile ndugu wa kiume wa baba yako ambao kwa utaratibu wa kawaida hawawezi kukuoa au kuhusiana nao kindoa.
Sasa kumuita mume wako 'baba' eti ni heshima iliyotukuka haileti maana..

Umekosa majina yoote mazuri ya kumuita mumeo hadi umuite baba? Sasa kwenye ile ibada iliyotukuka utabinukaje na mtu unayemuita 'baba' yako? Au ndo ile heshima inazidi mpaka unaogopa kuonesha manjonjo unabaki na missionary style?...

Nimewaza tu.
Duh mawazo yako yapo apo kati zaidi, Y
 
Ila mke kuitwa mama umewahi kusikia km ndio inakero?
 
Nilishawahi kununiwa na mtu kwa kumkataza asimuite mumewe BABA,

Ila jamani unaanzaje kumuita mtu mnaelala kitanda kimoja na mambo kede kede eti BABA/MAMA,

Damn!
 
Nilishawahi kununiwa na mtu kwa kumkataza asimuite mumewe BABA,

Ila jamani unaanzaje kumuita mtu mnaelala kitanda kimoja na mambo kede kede eti BABA/MAMA,

Damn!
Mambo kedekede ndo yapi ayo Ever
 
Ni ukoloni flan hv.
Ndo sabb sku hz wababa wanawala mabinti zao wenyew.
Kama mama yao anakuita baba unaitika na badae unamsalome..
Unantekenyaga ukinyonga.....
Na binti yako itakuaje ngum sasa..
 
mara nyingi mwanamke alielelewa na mama pekee bila baba anamchukulia mume kama babaake, yani zaidi ya mume
Acha uongo wako mkuu. Unaishi mjini au kijijini? Kama ni mjini niambie ni wapi.

Kimsingi mimi naona faraja kuitwa baba na mke wangu kama ilivyo raha mimi kumuita mama. Unajua mapenzi hunogeshwa na heshima ilimradi isiwe fake
 
Back
Top Bottom