Mume kuitwa baba na mke wake

Mume kuitwa baba na mke wake

Mchepuko: baby vipi hilo bwege lipo.
Mke: hayupo katoka
Mume: unaongea na nani?
Mke: baba hebu wacha matani yako hebu kale chakula chako.
Mchepuko: baba yako kaja lini?
Mke: tokea juzi
Mchepuko: ok tukutane pale pale kesho basi baby.
Mke: sawa kesho basi acha nikamwekee chakula baba.
Wewe kubali kuitwa baba tu.
 
Mmmmh kwa elimu yangu ndogo ya dini yangu au sikumuelewa mwalimu Madrasa ni kwamba ukimeita mkeo mama ni talaka tayari maana uwezi mpanda mamayako pia ukimwita mumeo baba ivyoivyo ni taraka sio mapenzi wala busara make/mume kuitwa au kuitika ivyo kwa mwenza wake
 
Heshima nzuri ya kukupa title halali kuwa ni mume wake na umlee mkeo vizuri adeke kwako kama yuko kwa baba yake yani umpende na ye akuheshimu
 
Nimewai kumuona mke amemsave mme wake ktk simu hivyo yaani Baba hii sasa ndo balaa
 
Mmmmh kwa elimu yangu ndogo ya dini yangu au sikumuelewa mwalimu Madrasa ni kwamba ukimeita mkeo mama ni talaka tayari maana uwezi mpanda mamayako pia ukimwita mumeo baba ivyoivyo ni taraka sio mapenzi wala busara make/mume kuitwa au kuitika ivyo kwa mwenza wake
Lakini neno halibadilishi uhalisia km vile mtu akuite wewe nyani haikubadilishi wewe kuwa nyani
 
Back
Top Bottom