MEKADDISHKEM
Senior Member
- Sep 15, 2016
- 153
- 150
Haiitakiwi kabisa mke kumuHaillll mumeo Baba kwa iyo wewe unalala na Baba yako
inahitaji akili ya ziada kunielewa
mumeo kumuita baby. Ulishawahi kupanda gari ukaona mtu anasema au anakuambia Njoo nikupakate baby peke yake Ndio kipenzi cha watu wote
endelea kumuita mumeo Baba na baby
narudia tena yahitaji akili ya ziada kuelewa kile ninacho zungumza Ndio maana ndoa nyingi za siku hizi hazidumu majina yana guvu kubwa Sana yanapotumika
ushauri wangu kwa wana ndoa ni vyema ukamuita mumeo jina lake sahihi Kama ni Treven au Musa vivyo hivyo kwa wanawake
n.b usimwite baba flan au mama flani
hautakaa unielewe Kama huwezi kufikiria
Nawasilisha
inahitaji akili ya ziada kunielewa
mumeo kumuita baby. Ulishawahi kupanda gari ukaona mtu anasema au anakuambia Njoo nikupakate baby peke yake Ndio kipenzi cha watu wote
endelea kumuita mumeo Baba na baby
narudia tena yahitaji akili ya ziada kuelewa kile ninacho zungumza Ndio maana ndoa nyingi za siku hizi hazidumu majina yana guvu kubwa Sana yanapotumika
ushauri wangu kwa wana ndoa ni vyema ukamuita mumeo jina lake sahihi Kama ni Treven au Musa vivyo hivyo kwa wanawake
n.b usimwite baba flan au mama flani
hautakaa unielewe Kama huwezi kufikiria
Nawasilisha