Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,645
- 3,889
Hapana nakataa kabisa..... Mimi nmelelewa na mama zaidi lakini simuiti mume baba namchukulia kama mume na rafikimara nyingi mwanamke alielelewa na mama pekee bila baba anamchukulia mume kama babaake, yani zaidi ya mume
!